Baba Matatizo
JF-Expert Member
- May 5, 2011
- 334
- 64
Nahitaji kujua kwa Dar au Mwanza...wapi wanauza bei ya jumla vitu kama Transistor,Capacitor..Resistors,ICs,Mabaki ya vifaa vilivopasuka katika usafirishaji kama tv,dvd players na vinginevyo?.Samahani Kama nitawakosea kwa kuweka hapa huu uzi.NAHITAJI KUANZA KIBIASHARA CHA KUUZA SPEA