Heshima kwenu wadau wa JF,
Naomba kwa watu walio Arusha nahitaji kupata nyumba ya kupanga haraka sana,
tafadhali kama kuna affordable apartment itakuwa ni chaguo la kwanza, kama bei ni aghali...
Easy -Easier -Easiest Advertising Centre Just click . Arusha Online: ARUSHA ONLINE
The BlogSpot that brings customers close to you
Our rates have deliberately been kept low to give...
Wana JF ninauza GPS Magellan Explorist 100 ambayo hutumika na maofisa ardhi kujua coordinates za kiwanja katika hatua za mwanzo kabla upimaji mkubwa haujaanza. Hii husaidia kujua location na...
Wajamaa,
Hii carry- truck hapa inauzwa. Inatoka bandarini wiki hii, wahi uipate. Bei ni TShs 7,600,000 tu!!!
Imelipiwa kila kitu mpaka sticker ya fire, unaweka tu number plates na bima...
Greetings!
Wakuu kwa wanao hitaji ramani za nyumba (Residential Houses) pamoja na cost- estimates zake tuwasiliane, pia Sisi kama BUILK BUILD tunakujengea nyumba yako at a high quality needed...
ndugu wanajamii kuna eneo la machimbo ya kokoto heka 55 linauzwa, eneo lipo msata bagamoyo limepimwa lina title deeds kati ya heka 55 heka 2 tu ndo zimechimbwa bei yake ni ml 350 kwa maelezo zaidi...
habari wanajamii! kuna eneo linauzwa lipo barabarani maeneo ya zinga. eneo lina ukubwa wa heka 2 linalofaa kwa makazi, kilimo au mifugo, huduma za maji na umeme zipo bei yake ni ml.16 tu kwa...
salam, wanajamii! kuna eneo la heka 6 zinga bagamoyo linauzwa lipo umbali wa mita 800 kutoka barabara ya bagamoyo road eneo halina mgogoro huduma za jamii za maji, barabara na umeme zimefika eneo...
Kabari wanajamii! kuna surveyed plot ambayo ni medium size inauzwa bagamoyo mjini maeneo ya ukuni plot ina ukubwa wa sqm 760 huduma za jamiiza maji na umeme zinapatikana, bei yake ni ml 7.5 if you...
Greetings!
Wakuu kwa wanao hitaji ramani za nyumba (Residential Houses) pamoja na cost- estimates zake tuwasiliane, pia Sisi kama BUILK BUILD tunakujengea nyumba yako at a high quality needed...
Jiko na mixer ya bakery zinauzwaNauza jiko kubwa la deki 4 pamoja na mixer ya kukandia unga ambayo sijui size yake ila naweza nikasema size ya kati.Vifaa hivi vipo katika hali nzuri na vyote...
http://www.investinafrica.com
Hii ni website ambayo ina dili na investing in Africa wadau wa Investing naomba mtusaidie ufafanuzi hawa jamaa wanapataje pesa na je kuna uwezekano wa mtu kuanzisha...
Haijakamilika kama inavyoonekana katika picha. Inavyumba vitatu vya kulala. sebure jiko na dinning. Ina umeme na mita ya luku tayari. Bei 85mil. Ikiwa unahitaji kuiona piga simu 0717114409 kuweka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.