Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Photocopy yangu inasema System ERROR E100.wapi nitapa Drum unit ya Kununua?ni IR 1600
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Heshima kwenu wadau wa JF, Naomba kwa watu walio Arusha nahitaji kupata nyumba ya kupanga haraka sana, tafadhali kama kuna affordable apartment itakuwa ni chaguo la kwanza, kama bei ni aghali...
0 Reactions
0 Replies
947 Views
Easy -Easier -Easiest Advertising Centre Just click…. Arusha Online: ARUSHA ONLINE The BlogSpot that brings customers close to you Our rates have deliberately been kept low to give...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Wadau naombeni msaada wenu hasa kwa wale wakazi wa Morogoro,natafuta fundi wa laptop kwa maeneo haya ya Morogoro mjini!
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wana JF ninauza GPS Magellan Explorist 100 ambayo hutumika na maofisa ardhi kujua coordinates za kiwanja katika hatua za mwanzo kabla upimaji mkubwa haujaanza. Hii husaidia kujua location na...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
kuna habari kuwa hon advocate MAIRA hayupo nasi tena, ameaga dunia akipata matibabu hapo marekani REST IN PEACE OUR LEARNED BROTHER
0 Reactions
108 Replies
20K Views
Wajamaa, Hii carry- truck hapa inauzwa. Inatoka bandarini wiki hii, wahi uipate. Bei ni TShs 7,600,000 tu!!! Imelipiwa kila kitu mpaka sticker ya fire, unaweka tu number plates na bima...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
ipod shuffle 8GB together with charger,usb cable,earphone selling for 80000tsh dial 0653269241
0 Reactions
1 Replies
867 Views
Blackberry storm 9500 inauzwa kwa 340,000.. Cal 0717 602392
0 Reactions
0 Replies
703 Views
Greetings! Wakuu kwa wanao hitaji ramani za nyumba (Residential Houses) pamoja na cost- estimates zake tuwasiliane, pia Sisi kama BUILK BUILD tunakujengea nyumba yako at a high quality needed...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
ndugu wanajamii kuna eneo la machimbo ya kokoto heka 55 linauzwa, eneo lipo msata bagamoyo limepimwa lina title deeds kati ya heka 55 heka 2 tu ndo zimechimbwa bei yake ni ml 350 kwa maelezo zaidi...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
habari wanajamii! kuna eneo linauzwa lipo barabarani maeneo ya zinga. eneo lina ukubwa wa heka 2 linalofaa kwa makazi, kilimo au mifugo, huduma za maji na umeme zipo bei yake ni ml.16 tu kwa...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
salam, wanajamii! kuna eneo la heka 6 zinga bagamoyo linauzwa lipo umbali wa mita 800 kutoka barabara ya bagamoyo road eneo halina mgogoro huduma za jamii za maji, barabara na umeme zimefika eneo...
0 Reactions
0 Replies
963 Views
Kabari wanajamii! kuna surveyed plot ambayo ni medium size inauzwa bagamoyo mjini maeneo ya ukuni plot ina ukubwa wa sqm 760 huduma za jamiiza maji na umeme zinapatikana, bei yake ni ml 7.5 if you...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Greetings! Wakuu kwa wanao hitaji ramani za nyumba (Residential Houses) pamoja na cost- estimates zake tuwasiliane, pia Sisi kama BUILK BUILD tunakujengea nyumba yako at a high quality needed...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Jiko na mixer ya bakery zinauzwaNauza jiko kubwa la deki 4 pamoja na mixer ya kukandia unga ambayo sijui size yake ila naweza nikasema size ya kati.Vifaa hivi vipo katika hali nzuri na vyote...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nauza nokia x2 lk 1na 10,e63 lk1na 70,bold 9700lk330,nokia 6230i lk 1na 50,b,bcurve lki na 50 nitafUte 0652740304 ally
0 Reactions
1 Replies
1K Views
http://www.investinafrica.com Hii ni website ambayo ina dili na investing in Africa wadau wa Investing naomba mtusaidie ufafanuzi hawa jamaa wanapataje pesa na je kuna uwezekano wa mtu kuanzisha...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Natafuta simu used yoyote ambayo kwenye mambo ya internet iwe safi,bei iwe ya kitanzania,yoyote anijulishe
0 Reactions
60 Replies
9K Views
Haijakamilika kama inavyoonekana katika picha. Inavyumba vitatu vya kulala. sebure jiko na dinning. Ina umeme na mita ya luku tayari. Bei 85mil. Ikiwa unahitaji kuiona piga simu 0717114409 kuweka...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom