nataka ideos ya kununua

nataka ideos ya kununua

vanmedy

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
2,704
Reaction score
1,410
habari wakuu,... natafuta ideos u8150 ya kununua,.. Kama kuna mdau anauza... Budget 100k.. Location (dar au mwanza)
 
Zipo nyingi tu madukani, usipende kununua simu kwa watu (mbali na dukani) usiowafahamu maana unaweza kujikuta umenunua simu iliyotumika kwenye uhalifu ukawa matatizoni!

Btw: Neno "ya kununua" kwenye heading yako ni redundant, hivi kuna mtu kweli angeamini unatafuta simu ya bure usingeliweka?
 
Zipo nyingi tu hapo Mwanza nimenunua wiki imepita Tshs 120,000, dar ni Tshs 100,000 hivi.Mwanza zipo hapo maduka ya simu stendi ya daladala mjini opposite na nono supermarket.
HUNA HAJA YA KUNUNUA MKONONI.
 
nikupe namba ya mtu anaweza kukupa even now?
 
nikupe namba ya mtu anaweza kukupa even now?

wewe nakuamini kijana wangu...ulishawahi kuniuzia ideos yako siku za nyuma... Jamaa anauza kiasi gani??.. Inbox me swahiba wangu
 
Zipo nyingi tu hapo Mwanza nimenunua wiki imepita Tshs 120,000, dar ni Tshs 100,000 hivi.Mwanza zipo hapo maduka ya simu stendi ya daladala mjini opposite na nono supermarket.
HUNA HAJA YA KUNUNUA MKONONI.

seeenkyuu veri maachee... Nitayafanyia kazi maneno yako
 
Zipo nyingi tu madukani, usipende kununua simu kwa watu (mbali na dukani) usiowafahamu maana unaweza kujikuta umenunua simu iliyotumika kwenye uhalifu ukawa matatizoni!

Btw: Neno "ya kununua" kwenye heading yako ni redundant, hivi kuna mtu kweli angeamini unatafuta simu ya bure usingeliweka?

nimekuelewa....ila wengine wangedhani
*nataka ideos ya kubadilishana
etc
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom