Natafuta chumba cha kupanga

Natafuta chumba cha kupanga

Thebony

Member
Joined
Aug 16, 2012
Posts
92
Reaction score
2
Natumaini ndugu zangu wana jf wote tumeamka salama,
mimi nasoma hapa mliman mitaa ya Aru ila sijapata sehemu ya kuish kama una nyumba mitaa ya savery au mwenge au jirani na maeneo hayo.nijulishe kuptia 0758143110.asant
 
Unatoka mkoa gani?

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Natumaini ndugu zangu wana jf wote tumeamka salama,
mimi nasoma hapa mliman mitaa ya Aru ila sijapata sehemu ya kuish kama una nyumba mitaa ya savery au mwenge au jirani na maeneo hayo.nijulishe kuptia 0758143110.asant

mbona madalal kibao wapo? Watafute ila andaa mkwanja wa kueleweka
 
Ungeiweka kule jukwaa la matangazo madogomadogo utapata fasta, huku si mahali pake!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom