tangazo limekaa kitapeli sana funguka vizuri ili watu wakuelewe na kukuamini basi?? Kwanza umeanza kuboronga heading na habari vinatofautiana pili tangazo halija jitoshereza liongezee nyama basi??naona umekimbilia kuandika namba zako za sim?? Vitu kama bei ni muhim ?? Ama unataka tuamini kwamba wew ndio wale wale madalali njaa ??/matapeli??