Habari wanajamvi. Naombeni msaada wenu wa ushauri juu ya generator gani ni nzuri na inadumu zaidi kati ya Robi na Boss, nimekuwa nahitaji generator kwajili ya kuendeshea pump ya maji huko shambani...
Get a home business at a starting capital of Tsh20k and make Tsh120+ a month.
This is a work from home entrepreneurship opportunity for those with skills in IT and webpublishing eg MS publisher.
Baada ya kufanya uchambuzi yakinifu wa gharama zote tumeamua kuuza laptop kwa 550,000 na tablet kwa 240,000, BIDHAA HIZI NI MPYA KABISA. ANGALIA SPECIFICATIONS ZAKE KWENYE ATTACHMENT 0683714488.
*BLACKBERRY 9000 BOLD.
USED FOR FEW YEARS,
PRICE- 250,000/-tshs QUICK SALE.. Need of CASH !
HAINA TATIZO LOLOTE, SIMU IPO KAMA BRAND-NEW... BACK-COVER NA FRONT BUTTON, KIDOGO ZIME CHUNIKA...
Kwa huduma ya printing za aina zote karibu Legacy impresion Company tutakutatulia bei zetu ni nafuu kabisa kulinganisha na. wengine mawasiliano 0688 321282
Sent from my BlackBerry 8520 using...
Una ndugu yako anatafuta kazi? email me au nipm. . email sweetie92@yahoo.com
SIFA
Awe mwaminifu
Msafi anayejipenda
God fearing
Aliyetulia
kiingereza is an added advantage.
Jamani ninaomba wana jamii forums nipatieni bei ya photo copy machine size ya medium sio ile kubwa
maan sina hela nyingi sana
je ni bei gani sokoni na wapi nitapata ya uhakika?
Asanteni
Wana bodi kama mtakumbuka kuna thread ilikuwa inaelezea mradi wa viwanja halmashauri ya arusha eneo la lakilaki cha ajabu halmashauri imekuwa haieleweki kama bado mradi upo au umekufa alhali...
Exclusively Located Family Brilliance!!
How do you feel driving on a tarmac road from your home exit gate to your working place? A dust free immaculate home in the heart of Bahari Beach, just a...
Viwanja vilivyokwishapimwa,viko sita, unapatiwa na hati sqm 914, 935, 953, 969, 986 na 1643.
Viko moshono zamani olkeriani. Mashariki mwa njiro, bei sh 28,000/= kwa sqm.
Mawasiliano pm au email...
FOR SALE! Good size Plot of 1500sqm on a tarmac road with a bright and well-proportioned two bedroomed in a great location of Salasala in Kunduchi. The property offers enough space for more...
Hii ni kwa wana JF wote.
Hivi karibuni zimeingia simu nyingi 'fake' za aina ya IPhone 4, 4S, and 5 na watu wengi saana wameumia/kulizwa/kuingizwa mkenge kwa kujua kuwa unanua IPhone ya kutoka...
Kampuni mpya jijini dar inahitaji kukodi gari la kusambazia bidhaa lenye ukubwa wa tani 3 hadi 5 kwa muda na malipo ya mwezi bila ubabaishaji!!!
Liwe kwenye hali nzuri (SIO CHAKAVU) na lenye BODI...
Habari
Mwenye kujua haya mambo ya viwanja dar, katika jiji la dar ni sehemu gani naweza pata kiwanja kizuri kama ekari 2 hivi kwa bei rahisi kwa ajili ya kujenga nyumba ya kuishi. Mitaa kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.