Nyumba inapangishwa mbezi beach

Nyumba inapangishwa mbezi beach

baghozed

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2011
Posts
532
Reaction score
97
Nyumba ya vyumba vinne inapangishwa, kodi kwa mwezi ni tsh milioni moja ipo karibu na shule ya msingi mbezi beach.


kwa mawasiliano zaidi kwa atakaeihitaji piga 0655 44 44 40
 
weka picha ili watu waone kama nyumba ina azi ya hiyo bei,ivo ndio watu wanavyofanya biashara duniani,maneno bila watu kuona ni sawa na kuuziwa mbuzi kwenye gunia,watanzania tuwe serious na biashara
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom