Ukubwa 20x25, eneo zuri sana. Maji yapo pia umeme umefika. Bei 7M.
Pale nilikuwa naenda kucheza disko/rumba na totoz we acha tu enzi zile bana unadanganya form one na ushamba wao kwa kuwanunulia sukari na bofloOk, vp mkuu umesoma pale au ulikuwa unaenda kusalimia?