Nahitaji eneo la hekali mia moja maeneo ya kibaha kwa ajiri ya eneo kuweka yadi ya mizigo...iwe karibu na barabara na eneo lenye umeme liwe maeneo ya kibaha au mlandizi mwanzoni...
Me namiliki gx 100,but kwa nature yangu ya kazi mpya niliyoipata nadhani haitonifaa kwani ni home to office,office to home! Nahitaji IST,VITZ, or SWIFT ya movement za town,kunywea bia and kubebea...
Wana JF natafuta nyumba ya kunua Dar maeneo ya Magomeni, kinondoni, Temeke, nyumba iwesehemu nzuri kwenye baraba au karibu, naomba msaada wenu hata kama ni nyumba chakafu nimepata visenti, je...
Haloo wana Jf nina laptop aina ya Accer 5532
Hard disc 160
Ram 3.0GB
Speed 1.6GHz
Ina tatizo la battery hivyo nahitaji kubadilishana na mtu mwenye min laptop
Simu ni used but iko in mint condition, with box and all accessories. Bei tsh 560,000. Kama uko interested pm me, or nichek 0717301520 at kwenye whatsapp
Simu ipo ktk hali bomba bei poa na inapungua wazee. Ina USB cable, ni brown colored. Dogo langu Maximilian ndo seller. Cmu ni ya ukweli, a smartphone one. Karibuni wadau!
FRIDAY, DECEMBER 14, 2012
VIWANJA VINAVYOUZWA NI HIVYO VILIVYOWEKEWA ALAMA NYEKUNDU VINATIZAMANA NA UWANJA WA NDEGE SONGWE MBEYA
PICHA YA VIWANJA HIVYO NI ZAIDI YA HEKA NNE KWA...
WE ARE PROFESSIONALS IN GSM INDUSTRY FOR THE FOLLOWING SERVICES
UNLOCKING ANY GSM PHONES
IPHONES
NOKIA
SAMSUNG
ALCATEL
BLACKBERRY
UNLOCKING ANY GSM MODEM
ZTE
HUAWEI
VODAFONE...
kama unahitaji kutafuta maisha upande wa pili wa shillingi jiunge nami tukianza kwenda south maana nnandugu yangu pande hizo,ni mawazo tu jamani kama huitaj kaa kimya kama unahitaj nipm