South africa

South africa

Kabaizer

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2011
Posts
504
Reaction score
64
kama unahitaji kutafuta maisha upande wa pili wa shillingi jiunge nami tukianza kwenda south maana nnandugu yangu pande hizo,ni mawazo tu jamani kama huitaj kaa kimya kama unahitaj nipm
 
kama unahitaji kutafuta maisha upande wa pili wa shillingi jiunge nami tukianza kwenda south maana nnandugu yangu pande hizo,ni mawazo tu jamani kama huitaj kaa kimya kama unahitaj nipm
Umeshaambiwa bongo tambarare. Walioko nje ya nchi siku zote wanapigiwa kelel hapa jamvini warudi bongo. Kulikoni?
 
Hujausikia unyanyasaji wa wageni huko SA? Hapendwi mtafuta kazi asiye wa taifa lao.
 
Bora uchakalike hapa nyumbani kuliko huko S.A utashia kujihusisha na mambo ya ajabu
 
SA pamevamiwa na wengi,hadi wazawa wenyewe wameanza kuhama kwao wanakimbilia visiwa vya Mauritius,Comoros,Seychelles,Reunion na Mayote.huko mambo ndo yanasoma siku hizi,they are among the fastest growing economies in Africa,na kutokana na vyenyewe kuwa vidogo,the change is drastic.
 
Back
Top Bottom