Mkuu yeye kakwambia anahitaji 100 tu,mambo ya 800 yatoka wapi au unataka kutuonyesha ni jinsi gani unamiliki kiasi kikubwa cha ardhi?nina heka 800 kibaha ndani kila heka 400000
sawa asante eneo mi ninalo ni heka 102 hvi lina document zote tutafutane basi tukae mezani tumalize biasharaMimi sio dalali ila ni mtu niliepewa kazi ya kutafuta eneo na boss wangu plan ni kutengeneza bandali ya nchi kavu maeneo hayo....
sawa asante eneo mi ninalo ni heka 102 hvi lina document zote tutafutane basi tukae mezani tumalize biashara