mwalimukambarage
New Member
- Dec 13, 2012
- 1
- 0
Wana JF natafuta nyumba ya kunua Dar maeneo ya Magomeni, kinondoni, Temeke, nyumba iwesehemu nzuri kwenye baraba au karibu, naomba msaada wenu hata kama ni nyumba chakafu nimepata visenti, je naweza kupata nyumba maeneo hayo kwa budget yangu yaa milioni 110? naomba nisaidieni kabla sijaspend vichenji vyangu hivi