Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

nauza computa hp flat sceen pentium m imetumia miezi8 iko safi sana orignal ipo sawa na zinazotumika crdb benki natoa garantii mwaka mzima bei laki 3 mawasiliano email lufisakumtoni@yahoo.com
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nauza mayai ya blue yanayotibu kisukari presha na magonjwa ya moyo pia mjasiriamali anatakaiwa kufuga hawa kuku mayai yake ni gali sana huuzwa mpk 5000/= number yangu ni 0757662401
0 Reactions
31 Replies
8K Views
computa inauzwa hp desktop hp pentium m flatsceen iko kwenye hali nzuri sana galantii natoa mwaka moja mi nimetumia miezi6 tu bei yakuuzia laki3 mawasiliano yakunipata e-mail magovela90@yahoo.com...
0 Reactions
0 Replies
816 Views
nawahitaji walili wasiwe wadogo........umri chini ya miezi minne ningewapendelea zaidi...kwa atakae kuwa nao tuwasiliane kwa namba ifuatayo kuzungumzia namna biashara inavyoweza kufanyika na bei...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Niwapi dar wanaprint majina kwny jez za timu na bei zao zikoje?
0 Reactions
2 Replies
862 Views
hey wana jf nawakaribisha katika blog yangu ya fashion ambayo ni www.africanamitindo.blogspot.com
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Haloo wana jm nahitaji simu iliyotumika(used) galaxy s2 kwa yeyote anayeuza
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Wakuu poleni na majukumu, nina swali kidogo hivi kwa mil 60 ninaweza kuagiza range rover sport from uk...? Nikimaanisha mpaka kulipia kodi kila kitu.....inaweza kutosha ?......nisaidieni wakuu
0 Reactions
51 Replies
8K Views
Jamani ninabiashara ya mafuta ya ubuyu ila masoko yanasumbua nisaidien
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Natafuta ipad 3 inayo sapoti wifi na 4G....Pia natafuta mac book air... kama una hizi bidhaa ni pm
0 Reactions
0 Replies
882 Views
galaxy s1 4 sale bei 350 tu
0 Reactions
0 Replies
772 Views
Haloo wana jm natafuta simu iliyotumika (used) samsung galaxy s2
0 Reactions
3 Replies
920 Views
Ndugu zangu naomba msaada wenu wapi naweza kupata baiskeli ya kumsaidia mgonjwa ambaye hawezi kutembea baada ya kuvunjiku mguu. Ninaihitaji kwa haraka sana. Mwenye kufahamu inakopatikana naomba...
0 Reactions
2 Replies
963 Views
Over the years, relatives have wasted money sent to Tanzania specifically for building a dream home. Most of these relatives’ funds were misused or the home that was built did not make...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Wakulu Huyu Ndugu ni rafiki yangu nilisoma nae Minaki Sekondari around 1996-1998. Nilikuwa na mawasiliano nae ya email for a while then tukapoteana. Najaribu tu ku-reconnect na an old friend...
0 Reactions
0 Replies
823 Views
Et cm ya bb kama m2 aliiungansha b.b.m! Je ntafanyaje ili niisconect nconnect yng?
0 Reactions
22 Replies
2K Views
wana jamii incubator za mayai 24- laki 6 mayai 176 kwa 1m na mayai 264 1.3m zote ni automatic na multi function zinatumia umeme kidogo namade in china soko la EU certificated approved. kwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
hi all, nauza flat screen computer monitor HP LE1901W (search it on google ukipenda) imetumika wiki 3.unatest kabisa.niko dar.price ni Tshs laki na 70 (this is very cheap confirm it on google au...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nauza asali, ya nyuki wakubwa kutoka Kigoma na Tabora, napatikana Maliasili na Utalii Mpingo House, karibuni
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kiwanja cha ukubwa wa sqm 2,941 ( low density ) kimetengwa kwa ajiri ya makazi kipo Bunja Block A​ kimepimwa, kinahati ni umbali wa km 1.5 toka bara barani eneo tayari lina miundombinu ya...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Back
Top Bottom