Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari zenu wana JF. Naomba mssada wa kujua ushuru wa gari ya mwaka 1997 na 2001 pia zinauzwaje hapo bongo? Asanteni.
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Wadau mimi natafuta Minbus Toyota HIACE iliyotumika lakini ambayo ipo katika ali nzurikwa vigezo hivi:- Air con Body isiwe imegongwa vya kutisha! Super roof Engine iwe nzuri siyo imefanyiwa...
0 Reactions
10 Replies
5K Views
Nauza Tv LCD Flat Screen ,aina ya TCL ,INA UKUBWA WA INCHI 24 BEI NI TSHS 350,000/= MAELEWANO YAPO,NI USED INA WEZA KUTUMIKA KM SCREEN YA COMPUTER IKIUNGANISHWA NA CPU.TUWASILIANE KUPITIA NAMBA...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
wakuu nahitaji laptop moja...... kikubwa ni kwamba iwe ktk hali nzuri. bajeti yangu mwisho laki3. call 0752788090
0 Reactions
0 Replies
898 Views
Salama wazeiya, Ipo Noah (Exurb) Brand new at 11 MillionMaongez yanakarbshwaInterested! Call/Text to 0776744420
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Ps3 slim inauzwa 390,000tsh tatizo lake ni disc tray tuu....ku remove cd vizuri, ndo maana naiuza...apart from that kila kitu kiko freshi, padi na wires zake zipo, na cd kibao zipo....any problem...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Nahitaji mtaalam wa mambo ya umeme ambaye anaweza kunibadilishia mashine washers na Driers na zile za kutotolea vifaranga vya kuku ambazo nimezinunua Marekani. Zote zinatumia umeme wa 110V...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Naomba ushauri kwa wenye utaalam ni aina ipi ya acoustic guitar nzuri inapatikana madukani hapa dar na ni vitu gani vya muhimu kuangalia wakati wa kuchagua guitar.Mimi si mtaalam, just najifunza...
1 Reactions
0 Replies
943 Views
Habari zenu wakuu, Chumba kimoja self contained (chenye choo & bafu) jijini dar es salaam kinahitajika chenye mazingira na mandhari mazuri......kodi ya chumba inatolewa ya mwaka mzima. Yeyote...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nauza vifaranga vya kuku wa kienyeji,nina mbegu ya Malawi,Australia,kuchi na mbegu ya kawaida.BEI NI SHILINGI 2500 KWA KILA KIFARANGA.kwa mawasiliano piga simu 0712 419 419,KARIBU SANA.
0 Reactions
11 Replies
10K Views
jamani nauza toyota premio rangi ya kijivu, engine 3s, namba AVU,excellent condition, new tyres. bei 6.5m.negotiable . 0715 881881
0 Reactions
2 Replies
1K Views
fundi fance za umeme anapatika maeneo ya mianzini Arusha kwa ukitaka huduma ya kufungiwa fance wasiliana nae kwa sim namba 0767413838, 0763700777
0 Reactions
0 Replies
1K Views
nauza toyota premio namba avu, good condition, price 6m, engine 3s, colour(grey)
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nauza gari with the following specs; Make: 2001 Model: Toyota, Verossa, Sedan CC; 2000, Six (6) Cylinder Automatic transmission KM: 106016 Colour; pearl white Fuel; petrol CD/Tape/ FM/AM Radio...
0 Reactions
29 Replies
7K Views
Kichwa cha habari chajieleza kama unayo hiyo tablet ni pm
0 Reactions
0 Replies
698 Views
Wandugu habari zenu Bajaji inauzwa bei poa millioni 4 ni used jst miezi 9 ipo kwny hali nzuri Haina tatizo lolote najitahidi kuupload picha Anae hitaji nicheck kwny 0714-074040 0713-705360...
0 Reactions
0 Replies
810 Views
ni used but in very good condition, Galaxy note inakwenda kwa 750,000. wakati Blackberry 9900 inakwenda kwa 600,000. nicheck kwa 0755869966, au kama una whatsapp chat nami on 0715841111. thanks
0 Reactions
2 Replies
770 Views
Kuna shamba ninauza lina ukubwa wa heka 2 , lipo kimara suka , umbali wa kilometer 2 kufika barabarani, lina maji na lipo mahali pazuri. ninaanzia shilingi milioni 80. mazungumzo yapo. no ya simu...
0 Reactions
0 Replies
856 Views
iko strategic area kwa ajili ya biashara wai mapema
0 Reactions
0 Replies
755 Views
Nyumba iko maeneo mazuri kwa ajili ya biashara
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom