Wadau mimi natafuta Minbus Toyota HIACE iliyotumika lakini ambayo ipo katika ali nzurikwa vigezo hivi:-
Air con
Body isiwe imegongwa vya kutisha!
Super roof
Engine iwe nzuri siyo imefanyiwa...
Nauza Tv LCD Flat Screen ,aina ya TCL ,INA UKUBWA WA INCHI 24 BEI NI TSHS 350,000/= MAELEWANO YAPO,NI USED INA WEZA KUTUMIKA KM SCREEN YA COMPUTER IKIUNGANISHWA NA CPU.TUWASILIANE KUPITIA NAMBA...
Ps3 slim inauzwa 390,000tsh
tatizo lake ni disc tray tuu....ku remove cd vizuri, ndo maana naiuza...apart from that kila kitu kiko freshi, padi na wires zake zipo, na cd kibao zipo....any problem...
Nahitaji mtaalam wa mambo ya umeme ambaye anaweza kunibadilishia mashine washers na Driers na zile za kutotolea vifaranga vya kuku ambazo nimezinunua Marekani. Zote zinatumia umeme wa 110V...
Naomba ushauri kwa wenye utaalam ni aina ipi ya acoustic guitar nzuri inapatikana madukani hapa dar na ni vitu gani vya muhimu kuangalia wakati wa kuchagua guitar.Mimi si mtaalam, just najifunza...
Habari zenu wakuu,
Chumba kimoja self contained (chenye choo & bafu) jijini dar es salaam kinahitajika chenye mazingira na mandhari mazuri......kodi ya chumba inatolewa ya mwaka mzima. Yeyote...
Nauza vifaranga vya kuku wa kienyeji,nina mbegu ya Malawi,Australia,kuchi na mbegu ya kawaida.BEI NI SHILINGI 2500 KWA KILA KIFARANGA.kwa mawasiliano piga simu 0712 419 419,KARIBU SANA.
Nauza gari with the following specs;
Make: 2001
Model: Toyota, Verossa, Sedan
CC; 2000, Six (6) Cylinder
Automatic transmission
KM: 106016
Colour; pearl white
Fuel; petrol
CD/Tape/ FM/AM Radio...
Wandugu habari zenu
Bajaji inauzwa bei poa millioni 4 ni used jst miezi 9 ipo kwny hali nzuri
Haina tatizo lolote najitahidi kuupload picha
Anae hitaji nicheck kwny 0714-074040
0713-705360...
ni used but in very good condition, Galaxy note inakwenda kwa 750,000. wakati Blackberry 9900 inakwenda kwa 600,000. nicheck kwa 0755869966, au kama una whatsapp chat nami on 0715841111. thanks
Kuna shamba ninauza lina ukubwa wa heka 2 , lipo kimara suka , umbali wa kilometer 2 kufika barabarani, lina maji na lipo mahali pazuri. ninaanzia shilingi milioni 80. mazungumzo yapo. no ya simu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.