Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

KIWANJA KINAUZWA Kiwanja kipo km 30 kutoka mbagala ni njia iendayo kusini mwa tz,, kinauzwa mill 1.3 maelewano yapo kina hati ya serikali ya kijiji ni robo ekari kipo nusu km kutoka barabara...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari wana jamvi Bb ipo in excellent condtion! Bei laki 3.5 nET,,(fixed price) Utapata cover mpya na cable. ...Karibuni inbox kwa wenye interest
0 Reactions
3 Replies
1K Views
wapendwa naomba mnisaidie sehemu yeyote wanapouza rim paper kwa hyo bei lakini isiwe za wizi,ASANTENI SANA
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Hii ni Panasonic dmc-fz100 14.1MP ni moja ya Camera zilizo sifika kwa ubora na uzuri wa picha.Bei yake ni Tshs 850,000.Imetumika lakini ipo katika hali nzui kabisa na ilitumika Uingereza na sasa...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
inahtajika gari ndogo saloon inayoweza piga taxi iwe nzuri walau... iwe na cc isyozid 1500 corrola itapendeza zaid weka picha inapobidi
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wana jamii nauza shamba langu la heka nne ambalo halijalimwa na halina visiki labda viwili vitatu tu kwahiyo usafishaji wake ni wa kuondoa majani tu halina kazi kubwa.Lipo Mkuranga na kama kuna...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Mbali na JF Yawe Madogo Madogo mfano Simu,kompyuta,furniture n.k Nataka zinisaidie ktk kazi yangu ya udalali! PLZ JAMANI NISAIDIENI!!
0 Reactions
1 Replies
950 Views
Kuna BB bold 9900 = Tshs 550,000 bold 9780 = Tshs 450,000 bold 9700 = Tshs 350,000 BB Curve 9360 = Tshs 400,000 Curve 8025 = Tshs 130,000...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Natafuta Hp desktop CPU iwe dual core processor, hard disc drive kuanzia 180GB, na ram kuanzia 2gb, dvd writer na iwe tower. Kwa anayeuza anitafute kwenye namba 0713872828
0 Reactions
0 Replies
711 Views
CPU gb 80 proseccor 3.20 na ram 1 gb inauza kwa 120000 tuuuu!!! njaa tu ndo inanifanya niuze haina tatizo lolote 0764435828, au 0718512630....
0 Reactions
1 Replies
880 Views
Wakuu nataka nifunge DSTV gheto sasa nataka kufahami installation cost, kuanzia Dish, decoder na malipo kwa mwezi! Natanguliza shukrani!
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mashamba yanuzwa maeneo ya Mwale Masaki Kisarawe. Moja heka 4 lina, minazi kama ishirini, michungwa, miembe n.k Shilingi milioni 10. Lingine heka 1shilingi milioni moja na laki nane. Wanaouza ni...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
iko in good condition. ni nzima no problems at all, ni nyeupe , 16gb , used , iko cheaped, ina game 9 (including fifa 13) price ni : 250,000 contacts ; 0656 211 999 , 0789 218 339
0 Reactions
0 Replies
1K Views
ni nyeupe, 16 gb, ipo in good condition na ina kila kitu chake. price ni 250,000. nicheki @ 0656 211999
0 Reactions
2 Replies
1K Views
ninauza external hardrive mang'anyu ni ya one terrabyte seal unakata mwenyewe nitafute kwa number hii 0717957070
0 Reactions
1 Replies
891 Views
Wadau, Ninauza Scania 124L HP 420 ya mwaka 2000 ambayo imetoka leo bandarini na iko kwenye hali nzuri sana kama ambavyo picha zinavyoonesha. Bei yake ni nzuri na iko below market price kwa...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Hii ni camera moja kali sana utafurahi kwa matumizi yake.Picha zake ni nzuri sana na imewekwa lens ya sigma ambayo kali sana.Imetumika kiasi lakini ipo katika hali nzuri kabisa wala haina...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Hii ni moja ya Camera ambayo inasifika na hutumika sana hasa wanaoendesha shughuli za habari kwenye studio's.Quality picture yake ni nzuri sana.Nitawaletea spec's zake baadae na ipo njiani kutokea...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakuu, ninahitaji kununua Unlocked 3G Vodacom Modem Kwa Bei Poa
0 Reactions
0 Replies
892 Views
Kenta mpya inahitajika,mwenye kujua anijulishe pliz,aainishe na bei kabisa! Ili nione kama nitamudu
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Back
Top Bottom