Kiwanja kinauzwa kwa bei ya kutupwa...

OgwaluMapesa

JF-Expert Member
May 24, 2008
10,942
428
KIWANJA KINAUZWA

Kiwanja kipo km 30 kutoka mbagala

ni njia iendayo kusini mwa tz,,

kinauzwa mill 1.3 maelewano yapo

kina hati ya serikali ya kijiji

ni robo ekari kipo nusu km kutoka barabara kuu iendayo rufij na mikoa ya kusini.
 
KIWANJA KINAUZWA

Kiwanja kipo km 30 kutoka mbagala

ni njia iendayo kusini mwa tz,,

kinauzwa mill 1.3 maelewano yapo

kina hati ya serikali ya kijiji

ni robo ekari kipo nusu km kutoka barabara kuu iendayo rufij na mikoa ya kusini.

Mkuu huko si ni Mkuranga sasa au?
 
KIWANJA KINAUZWA

Kiwanja kipo km 30 kutoka mbagala

ni njia iendayo kusini mwa tz,,

kinauzwa mill 1.3 maelewano yapo

kina hati ya serikali ya kijiji

ni robo ekari kipo nusu km kutoka barabara kuu iendayo rufij na mikoa ya kusini.

weka namba ya simu nikupigie
 
kipalang'anda kwa rubaha...............napokea ht kwa awamu mbili ni makubaliano tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom