mkweche ni aina gani tena au nini? mie nimeandika gari..siyo iko kitu kingine
Mkweche kwa maana nyingine ukiliona hilo gari kwa nje linaonekana ni Toyota Corolla lakini ukiliwasha linatoa mlio undefined (mengine yanalia kama generator), nadhani mikela alikuwa anamaanisha kwa hela hiyo utapata gari kuukuu
nadhani nina makusudi maalum hususani likiweza piga mzigo hata kwa muda flani hivi...mie cha kutembelea ninacho voda walinitunuku mkoko enzi hizo mpaka leo unadunda tu. lkn pia ahsante kwa ushauri