Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wajameni, kwa mwenye kufahamu naomba kujuzwa ni duka gani naweza pata hiyo bidhaa hapa Dar? Natanguliza Shukrani Wenu katika Ujenzi wa Taifa, TANMO.
0 Reactions
30 Replies
5K Views
Mtu mwenye LED flat screen kama anauza ani pm iwe nzima nchi 32 angalau offer yangu 350, 000/-
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Post deleted
0 Reactions
0 Replies
906 Views
nauza blackberry imetumia miezi kadhaa ipo katika hali nzuri 550,000
0 Reactions
0 Replies
764 Views
Nauza shamba lenye ukubwa wa ekari 70 liko Kiwangwa kijiji cha Lugogo kila ekari ni Tshs 600,000/= maelewano yapo. Umbali wa Km 4 toka barabara ya lami Msatta - Dar, gari inafika hadi shambani Ni...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
PATA SIMU YA KIJANJA, Orange San Francisco (ZTE BLADE) WITH ANDROID AND HIGH SENSITIVE TOUCH. ONLY FOR 95 USD OR 150000 TSH. General 2G Network GSM 900 / 1800 / 1900...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
PATA SIMU YA KIJANJA, Orange San Francisco (ZTE BLADE) WITH ANDROID AND HIGH SENSITIVE TOUCH. ONLY FOR 95 USD OR 150000 TSH. 0715353108 0756144060
0 Reactions
0 Replies
1K Views
uzinduzi wa tunawakaribisha katika uzinduzi wa album mpya ya 'wokovu wetu u tayari ya cornerstone gospel singers ambayo itafanyika siku ya jumapili kuanzia saa 8 mchana na kuendelea katika...
0 Reactions
3 Replies
991 Views
Anaitwa EMANUEL MWAIPALE mweyeji wa mkoa wa mbeya, wilaya ya Kyela. kitu ambacho sifahamu ni kata na kijiji anachotoka mwaka juzi alihama kutoka Mbeya mjini maeneo ya Mwanjelwa na ambako alikuwa...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Nyumba ipo mbweni mpiji kwenye eneo la ukubwa wa sqm 663, nyumba bado haijakamilika ndani, ina vyumba 3, kimoja master, sebule, choo, dinning, jiko, stoo na public toilet. maji na umeme vipo bei...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Dege heka 2 mil.12/salasala square meter 1500 mil.15/mbutu karibu na kichangani beach resout mil. 15 square meter 1500 contact 0776 237 245/0612 555 111
0 Reactions
0 Replies
1K Views
soma hapa
0 Reactions
3 Replies
1K Views
nyumba ipo kihonda mazimbu road bei millioni 7.5 maongezi yapo. ninaiuza kutokana na kuhamishwa mkoa kikazi na kuwa mbali naamini nitashindwa kuihudumia . MAWASILIANO-0715026030
0 Reactions
16 Replies
3K Views
ni laki na hamsini tuuuuu,,kwa wabunge ,madereva wanaoombwa rushwa,wanasiasa,na waandishi wa habari
0 Reactions
38 Replies
3K Views
blackberry playbook 16gb,stiil new used for few weeks,it has charger only price 470000tsh my mobile 0653269241
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habary wana JF Nakuombeni anejua gym iliopo kariakoo au karibu na Kko0 naomba anielekeze
0 Reactions
3 Replies
3K Views
gari nzuri sana ipo upanga dar-es-salaam,kuiona piga 0715 881881
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Wasalaam, nina kiwango cha sh 400,000 natafuta laptop yenye specificatios hizi RAM 2GB, processor speed 2GHz and Hdd iwe 350GB and above mwenye nayo ani Pm tufanye business faster,shughul njema.
1 Reactions
1 Replies
994 Views
kinauzwa kigambon maeneo ya dege ambako sio eneo la mradi....kwa mawasiliano zaidi pita 0688 238 912.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kitabu hiki kinapatikana pote duniani kupitia Amazon.com na kama E-Book kwa kupitia Kindle * Toleo hili ni toleo maalum, likiwa na maandishi makubwa - kwa mtu yeyote kuweza kusoma bila kufikicha...
7 Reactions
84 Replies
18K Views
Back
Top Bottom