Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wana jamii naomba mnisaide nitapata wapi dawa ya kuua majani yasiote mbele ya maduka YA BIASHARA yangu ninapata shida ya kuajiri watu mara kwa mara walime majani hayo lakini baada ya muda...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Being rated as the Leading SMS Job Alerts service in Tanzania and East Africa KAZImobi with more than 50,000 subscribers country wide ( Domestic & Professional), it can make your life easier...
0 Reactions
0 Replies
760 Views
Specification: Ni used, Toshiba Touch Screen Notebook Tablet Currently Windows vista installed Hard Disk 200GB Ram 2.0GB Processor 2.2GHZ DVD/CDRW Finger print Webcam Wireless Bluetooth Screen...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Mimi ni Music producer natafuta kazi ya uproducer mkoa wowote nipo tayari kufanya kazi nimekwisha fanya project na wasanii wakubwa kama vile alikiba, na matonya... namba yangu ya simu ni 0764435828
0 Reactions
0 Replies
1K Views
NYUMBA INAUZWA: Ipo Kigamboni (Mikwambe). Kilometa 15 kutoka Ferry, Kilometa 13 kutoka Kongowe, Mita 100 tu Kutoka barabara ya lami iendayo kongowe. Ipo nje kabisa ya mradi. Kiwanja kina ukubwa wa...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
iko in good condition as good as new. unlocked, 16 GB, ina kila kitu chake. pricce ni 800,000 . call me thru 0656 211999
0 Reactions
0 Replies
707 Views
MAFUTA YA UBUYU/BAOBAB SEED OIL NI MAFUTA HALISI YANAYOTOKANA NA MBEGU YA UBUYU.UTAFITI ULIFANYWA KUHUSU MAFUTA YA UBUYU UMEONESHA KUWA YANA UBORA KULIKO MAFUTA MENGINE YOYOTE YANATIBU MAGONJWA...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari, Tumeanzisha kampuni ya Consultant katika mambo ya Dhahabu na Copper.Hii kampuni itakua inajihusisha na processing of Gold and Copper mfano Ore yako ina dhahabu na copper na nia yako ni...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
wakuu Naitaji Min laptop ya HP au TOSHIBA mpya ikiwa na kila kitu chake.............nataka vile vidogo sio makubwa ya Inch 14 hapana, naitaji haraka kwenye nayo aweke bei na contact yake tufanye...
0 Reactions
0 Replies
607 Views
Habari, Tumeanzisha kampuni ya Consultant katika mambo ya Dhahabu na Copper.Hii kampuni itakua inajihusisha na processing of Gold and Copper mfano Ore yako ina dhahabu na copper na nia yako ni...
0 Reactions
0 Replies
654 Views
Nauza laptop ACER Aspire ONE D270 2GB RAM 320GB HDD 10.1 Ins. screen Pamoja na SAMSUNG external CD/DVD writer TShs. 350,000 Call - 0759 777194
0 Reactions
0 Replies
762 Views
Nna Nissan xtrai old model IPO kwenye good condition haijatumiwa sana ukiiona kama mpya kabsa bei 13 m,
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Verrosa mpya kabsa nmeisajiri bado kwenda kuchukua plate number kwa bei tajwa hapo juu,ya mwaka 2002,engine VVTI 2.0 atakayekuwa interested ani PM.
0 Reactions
1 Replies
874 Views
We are happy to announce that we will conduct a form one tuition for students who are expecting to join Secondary Schools. The programme will be conducted from 7hJanuary, 2013 onwards in order to...
1 Reactions
0 Replies
910 Views
Hi , nauza computer flat screen monitor (HP LE1901w),kwa Tshs 130,000 (Laki na elfu thelathini) unatest kabisa,bado mpya kabisa.haina michubuko wala alama yoyote.niko dar,check me out(for serious...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Natafuta kiwanja, maeneo ya tegeta,boko,salasala kiwe kimepimwa au hata kama hakijapimwa ukubwa wa sqm 1000 na zaidi, budget ni sh 14 hadi 16 M.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari Jf, Ninauza cm aina ya Samsung galaxy Young S5360 Bei: 200,000 Ipo Dar, Ipo na screen protector, back cover na charger. Contacts. 0717543373, 0786305664
0 Reactions
3 Replies
991 Views
Zikiwa zimebaki siku chache kumaliza mwaka 2012, wasiliana na RMJ & CO. LTD ili kusajili kampuni yako kwa bei nafuu ya prpmosheni na bila usumbufu.Fika ofisini kwetu Mandela Road - Dar (Opposite...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wana Jf habari zenu. Ninatafuta mashine ya kusagia karanga inayo tumia umeme ambayo isha tumika yani Used iwe tu katika hali nzuri pia kwa bei nafuu ili niokoe mladi ya mladi imekufa msaada jamani...
0 Reactions
2 Replies
873 Views
Back
Top Bottom