Mkuu China utapata around 2usd ila by the time umelipa ushuru na transport utakuwa umekaribia bei unayoikimbia.wapendwa naomba mnisaidie sehemu yeyote wanapouza rim paper kwa hyo bei lakini isiwe za wizi,ASANTENI SANA
Mkuu China utapata around 2usd ila by the time umelipa ushuru na transport utakuwa umekaribia bei unayoikimbia.
Kwahio unless unaongelea container zima nadhani ni bora kununua kwa bei ya carton bongo ambayo nadhani ni around 35,000 kwa ream tano
nimeonge na jamaa yangu hapa kaniambia mikoani unaweza kupata kwa 32,000/= kwa carton hivyo basi Dar ninauhakika unaweza kupata kwa 30,000/= (as you know Dar being Dar...) ebu jaribu kuulizia kariakoo au kwa masumin am sure bei haichezi mbali na hapobongo maeneo yepi hayo kwa bei hiyo mkuu?
Okey asanteni nmepata sehemu for 30000 kwa cartoon,asanteni sana
wapendwa naomba mnisaidie sehemu yeyote wanapouza rim paper kwa hyo bei lakini isiwe za wizi,ASANTENI SANA
mimi nauza carton moja tshs 31,000, kama unahitaji kiasi chochoto , nitafute. Pia No1 zipo. receipt unapewaRim kwa 5000 sahau au iwe za wizi nawe hutaki za wizi,saa hizi rim ni kati ya 10000 na 11000 Tsh
Tuwasiliane haraka au weka mawasiliano yako