Gharama za ku-instal DSTV

Gharama za ku-instal DSTV

Nokla

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2012
Posts
3,190
Reaction score
1,780
Wakuu nataka nifunge DSTV gheto sasa nataka kufahami installation cost, kuanzia Dish, decoder na malipo kwa mwezi!
Natanguliza shukrani!
 
Kwa kipindi hiki cha mwisho wa mwaka DSTV wana instal kwa sh 129,000/ garama kwa mwezi inategemea unahitaji pack gani zipo za kuanzia 15,000 mpaka 129,000

Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
 
Kwa kipindi hiki cha mwisho wa mwaka DSTV wana instal kwa sh 129,000/ garama kwa mwezi inategemea unahitaji pack gani zipo za kuanzia 15,000 mpaka 129,000

Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums

Thanx mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom