Poleni kwa majukumu.
Naomba kujua ikiwa kama naweza kupata habari sahihi juu ya uwepo wa charger za simu zinazotumia betri za kawaida, hususani betri ndogo, yaani charger zisizotumia umeme...
many people say have smartphones but they are not real smartphones, this is a exactly smartphone, it is like a small pc in your pocket!
come from USA, used very little and in excellent...
Wadau nina mizigo hii 2 ni mipya kabisaa samsung pocket bie yake ni 150 mwisho 130 na pia nina Sony Xperia brand new bei yake ni 550 mwisho 500! Kwa mawasiliano zaidi check me on 0656-072553 na...
Nyumba kwenye plot 23*25 bedrooms 4 master kubwa ukumbi mkubwa jiko,store dinning inauzwa Mbezi Juu jirani na Tatedo bei 40m mwenye interest ani PM naambatanisha picha
vIPO VYUMBA 12, VILIJENGWA KWA AJILI YA LODGE, MWENYE LODGE KAGAIRI KWA SABABU ANAONDOKA KWENDA NJE YA NCHI HIVYO HAWEZI KUISIMAMIA, AMEAMUA KUPANGISHA, VYUMBA VIPO NDANI YA UKUTA NA ENEO NI...
Simu Sony Ericson Xperia LT15i inauzwa 600000/= Android 4.0.4 imetumika mwezi tu haijachubuka ukitaka kuiangalia ilivyo search kwenye google halafu check bei yake ulinganishe na hii nimejaribu...
WAHESHIMIWA SANA, nilikuwa naomba kama kuna mtu anayefahamu mahala popote ninapoweza kununua writing pads fulani hivi, ni tudogo huwa ni twa kubandika kuonyesha bei ya bidhaa, wapi nitapata au...
Habari wana-Jf
Kuna Fuso linauzwa, liko Dsm, limesajiriwa tayari na liko tayari kwa Kazi.
Ni V8,
Tipa,
Tani 18.
Linauzwa Tsh 45.0M
Kwa maelezo au ukitaka kuliona piga simu 0754265045.
Wanabodi, kuna ule msemo wa Kiswahili usemao, "Kizuri Kula Na Mwenzio"!.
Wengi wa sisi Watanzania ni "wachoyo", vitu vizuri tunapenda kula wenyewe tuu!, hatupendi kuwashirikisha wenzetu!, ndio...
Bei : Tsh 150,000/- kila moja
Idadi: vipo vinne (4)
Status: Used in good conditions.
Mahali vilipo: Kijitonyama Dar Es Salaam
Mawasiliano : 0712 043 188
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.