Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nguo aina ya batiki zinapatikana kwa bei ya jumla na rejareja. Moja ni 1000 lakini jumla ni 7000 kwa moja. Ni-PM kwa maelezo zaidi na mawasiliano. Karibu...
0 Reactions
0 Replies
874 Views
Kiwanja hiki kinaukubwa wa robo heka, kipo itezi uyole. umeme, maji na nyumba ya kuanzia ipo! kwa wanao hitaji maelezo zaidi wani PM.
0 Reactions
7 Replies
3K Views
toyota hilux surf. Engine 2l,manual gear+4wd. Kwa mawasiliano piga namba 0712419419
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari wadau! Tunatafuta DOG TRAINER kwa ajili ya kuwafundisha mbwa (Basic Training: Obedience, Guarding and Agility)
0 Reactions
7 Replies
1K Views
je unaitaji kutengenezewa grille zamilango,madirisha au mageti ya nyumba au mageti ya fremu za biashara(slidegate),fens pamoja na kazi zote za welding. piga simu 0715 824 677 0767 824 677 0784 824...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Wakuu nisaidieni na mimi niingie njiani,nahitaji nianzie kwenye used RAV4-auto au manual/5 doors/any color/Km1-100,000. Ili mradi iwe kwenye hali nzuri kwenye engine na bodi,tyre na usafi wa...
0 Reactions
28 Replies
4K Views
Habari wana jamiiforum, kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu mimi na familia yetu ni wafugaji and kwa sasa kuku wameanza kutaga kwa kasi ila soko limeyumba, so kama kuna mtu anaitaji mayai...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau godown linapangishwa mwenge,,,lipo barabarani (bagamoyo road) opposite na efatha bank,,,,,bei ni milioni 1.5 kwa mwezi....lina kiofisi kwa ndani...piga 0756 090222
0 Reactions
0 Replies
2K Views
wakuu, Nimefunga Container ambalo ndani yake kuna Jeki 100, kama kunamtu atahitaji iwe kwa jumla ama rejareja tafadhari naomba ani- PM. Container litafika mwezi January. Bei ni Tsh 10,000/-...
0 Reactions
11 Replies
5K Views
Webmaster Home anakupatia ushauri wa bure kuhusu makwazo yoyote binafsi yanayokukabili au magumu yoyote ya kimaisha na utatuzi wake pia anatoa fursa kuuliza swali lolote kuhusu maisha unaliliona...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
unaitaji kutengenezewa grille za milango, madirishapamoja na madirisha ya aluminum, fens na kazi zote zinazohusu welding. piga simu 0715 824677 0767 824677 0784824677 or 0713526346 tupo kimara mwisho
0 Reactions
0 Replies
798 Views
Kiwanja cha ukubwa wa heka 1kipo Tegeta basihaya mita 60 toka barabarani hakijapimwa Bei 16m 0657 145555 & 0755 099 291
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari zenu wana jf ninauza simu ya samsung galaxy s 2... iko kwenye condition nzuri na nimetumia kwa muda mchache tu This is how the phone looks aliyekuwa yuko tayari kwa biashara...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Toyota Land Cruiser for sale Year- 1999 km-300,000 cc-4164 Transmission- Manual Fuel- Diesel Last owner- WHO Tanzania Starting price- 39.5m Serious buyers only just PM me
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Nauza pikipiki aina ya bajaj ct-100 bei 1.5m
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Ndugu naitaji chumba na sebure Mbezi beach au kunduchi beach au mitaa ya upanga, chumba kiwe self
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Vifaa hivi vinauzwa kimoja kimoja na vipo DAR Ilala ama Buguruni.Kumradhi kidogo sijui sehemu yenyewe maana nimekodi duka kwa muda mfupi ili kuwepo urahisi kwa wanunuzi kwenda kuviona.Na mimi...
0 Reactions
0 Replies
791 Views
Maeneo yote ya nje ya mji wa arusha are great, ikiwa maeneo ya arumeru its awesome pia ila isiwe tu maji ya chai. Apartment hiyo iwe na facilities kama maji na umeme, na iwe na 2 bedrooms na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
186 ACRES,farm at kigamboni kimbiji (potea) ,45km toka kivukoni (kuna mikaratusi , minazi , michungwa na miembe ya kisasa liko kwenye barabara kimbiji kwenda tundwi bei 900mil. piga...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mabao za kilimo mbao laini za dawa na zisizo za dawa size yoyote tunasambaza maeneo nilio ya taja hapo juu. Zanzibar,comoro,mombasa,mafia mzigo wowote unaotaka tunasambaza kwa mawasiliano...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom