Nguo aina ya batiki zinapatikana kwa bei ya jumla na rejareja. Moja ni 1000
lakini jumla ni 7000 kwa moja. Ni-PM kwa maelezo zaidi na mawasiliano. Karibu...
je unaitaji kutengenezewa grille zamilango,madirisha au mageti ya nyumba au mageti ya fremu za biashara(slidegate),fens pamoja na kazi zote za welding.
piga simu
0715 824 677
0767 824 677
0784 824...
Wakuu nisaidieni na mimi niingie njiani,nahitaji nianzie kwenye used RAV4-auto au manual/5 doors/any color/Km1-100,000.
Ili mradi iwe kwenye hali nzuri kwenye engine na bodi,tyre na usafi wa...
Habari wana jamiiforum, kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu mimi na familia yetu ni wafugaji and kwa sasa kuku wameanza kutaga kwa kasi ila soko limeyumba, so kama kuna mtu anaitaji mayai...
Wadau godown linapangishwa mwenge,,,lipo barabarani (bagamoyo road) opposite na efatha bank,,,,,bei ni milioni 1.5 kwa mwezi....lina kiofisi kwa ndani...piga 0756 090222
wakuu,
Nimefunga Container ambalo ndani yake kuna Jeki 100, kama kunamtu atahitaji iwe kwa jumla ama rejareja tafadhari naomba ani- PM.
Container litafika mwezi January.
Bei ni Tsh 10,000/-...
Webmaster Home anakupatia ushauri wa bure kuhusu makwazo yoyote binafsi yanayokukabili au magumu yoyote ya kimaisha na utatuzi wake pia anatoa fursa kuuliza swali lolote kuhusu maisha unaliliona...
unaitaji kutengenezewa grille za milango, madirishapamoja na madirisha ya aluminum, fens na kazi zote zinazohusu welding.
piga simu
0715 824677
0767 824677
0784824677 or 0713526346
tupo kimara mwisho
Habari zenu wana jf
ninauza simu ya samsung galaxy s 2...
iko kwenye condition nzuri na nimetumia kwa muda mchache tu
This is how the phone looks
aliyekuwa yuko tayari kwa biashara...
Toyota Land Cruiser for sale
Year- 1999
km-300,000
cc-4164
Transmission- Manual
Fuel- Diesel
Last owner- WHO Tanzania
Starting price- 39.5m
Serious buyers only just PM me
Vifaa hivi vinauzwa kimoja kimoja na vipo DAR Ilala ama Buguruni.Kumradhi kidogo sijui sehemu yenyewe maana nimekodi duka kwa muda mfupi ili kuwepo urahisi kwa wanunuzi kwenda kuviona.Na mimi...
Maeneo yote ya nje ya mji wa arusha are great, ikiwa maeneo ya arumeru its awesome pia ila isiwe tu maji ya chai. Apartment hiyo iwe na facilities kama maji na umeme, na iwe na 2 bedrooms na...
186 ACRES,farm at kigamboni kimbiji (potea) ,45km toka kivukoni (kuna mikaratusi , minazi , michungwa na miembe ya kisasa liko kwenye barabara kimbiji kwenda tundwi bei 900mil. piga...
Mabao za kilimo mbao laini za dawa na zisizo za dawa size yoyote tunasambaza maeneo nilio ya taja hapo juu.
Zanzibar,comoro,mombasa,mafia
mzigo wowote unaotaka tunasambaza kwa mawasiliano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.