:israel:kampuni ya mobile power imetoa ofa ya punguzo la 25% kwa huduma zake za
.kushoot video za harusi,kitchen part,sendoff,mikutano pamoja na kupiga picha
.kushoot video za...
Eneo lipo Kibaha mkoa wa Pwani kata ya Visiga kituo cha madafu, kufika kwenye eneo ni kilometa 3 kutoka barabara ya morogoro, linafaa kujenga, kufuga, kulima. Bei Milioni 2. Mawasiliano 0714404057
Lipo kibaha eneo la Visiga kilometa 3 kutoka barabara kuu ya morogoro road. Lingine kilometa 6 kutoka morogoro road, yanafaa kufuga, kujenga, kilimo. Bei milion mbili kila moja. 0714404057
Wakuu,
Naitaji Corrola NZX engine model ya mwaka 2003, Mile 75K maximum, rangi yoyote ile.
Au naitaji GX115 ya mwaka 2003-2005, CC 2000, Mile zisizidi 75K.
Bei maelewano, sitaki bei za wazimu...
Ukubwa ni heka 5, umbali ni mita 500 kutoka Morogoro road, maeneo ya Visiga madafu, bei ni 125m.umeme upo pamoja na maji, ni zuri kwa yadi, godaun, nk. simu 0764434673.
Plot ya ukubwa wa futi 90 kwa 50 inauzwa, maeneo ya Toangoma kwa Sako. Ni karibu kabisa na shule ya sekondari ya St. George. Limezungukwa na makazi ya watu. Bei ni sh. mil 2.2. Hamna dalali.
Simu...
Wakuu
Naweza kulipa laki 8 au 9 kwa mwezi. Nitaweza kupata nyumba Kawe beach, Jangwani Beach au Mikocheni?
Au nisijisumbue niende tu nikatafute maeneo ya Mbezi beach, Kijitonyama na Makongo...
Tuko Mbezi GOBA karibu na msikiti njia panda ya Kinzudi, kwa maneno mengine njia panda ya kwenda Goba sekondari.
Tunamkaribisha mteja yeyote mwenye kuhitaji mchele safi kwa mauzo ya jumla.
Kwa...
Waungwana wanajf kuna viwanja vinauzwa maeneo ya chamazi mbagala vinapimwa kwa mita futi kuanzia 40x60 na kuendelea utakavyo mteja kupimiwa bei ni kuanzia 2milioni na kuendelea kwa anayehitaji...
Nataka kufanya biashara ya kuuuza vinywaji moto na baridi morogoro mjini.Kama kuna anayejua existing bar inayokodishwa ili nianzie hapo, anijuze tafadhali hapa au PM
Natafuta gari ya kukodisha kwa muda wa siku 3 iwe na uwezo wa kuchukua watu zaidi ya saba na iwe katika hali nzuri.iwe ya bei nafuu na haitajiki dereva
Kampuni au mtu binafsi anahitajika kuwekeza na kuendeleza machimbo ya RUBBY,DHAHABU na Gemstone..
Mgodi upo matombo Morogoro At Nyamhui gold mining.
Hata akitokea mtu akihitaji kununua eneo zima...
Mkuu kama kuna mtu anaemfaham mtu yeyote mwenye uwezo wa kufundisha
Financial acc or managerial financial management tuwasiliane tuongee biashara.
Mwanafunzi ni mjasiriamali anaehitaji...
Sucessful people,in every walk of life,think and talk about what they want most of the time.They think and talk about the future and how they can make it a reality.They are continually thinking...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.