Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

:israel:kampuni ya mobile power imetoa ofa ya punguzo la 25% kwa huduma zake za .kushoot video za harusi,kitchen part,sendoff,mikutano pamoja na kupiga picha .kushoot video za...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Eneo lipo Kibaha mkoa wa Pwani kata ya Visiga kituo cha madafu, kufika kwenye eneo ni kilometa 3 kutoka barabara ya morogoro, linafaa kujenga, kufuga, kulima. Bei Milioni 2. Mawasiliano 0714404057
0 Reactions
0 Replies
839 Views
Lipo kibaha eneo la Visiga kilometa 3 kutoka barabara kuu ya morogoro road. Lingine kilometa 6 kutoka morogoro road, yanafaa kufuga, kujenga, kilimo. Bei milion mbili kila moja. 0714404057
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu, Naitaji Corrola NZX engine model ya mwaka 2003, Mile 75K maximum, rangi yoyote ile. Au naitaji GX115 ya mwaka 2003-2005, CC 2000, Mile zisizidi 75K. Bei maelewano, sitaki bei za wazimu...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Ukubwa ni heka 5, umbali ni mita 500 kutoka Morogoro road, maeneo ya Visiga madafu, bei ni 125m.umeme upo pamoja na maji, ni zuri kwa yadi, godaun, nk. simu 0764434673.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Plot ya ukubwa wa futi 90 kwa 50 inauzwa, maeneo ya Toangoma kwa Sako. Ni karibu kabisa na shule ya sekondari ya St. George. Limezungukwa na makazi ya watu. Bei ni sh. mil 2.2. Hamna dalali. Simu...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakuu Naweza kulipa laki 8 au 9 kwa mwezi. Nitaweza kupata nyumba Kawe beach, Jangwani Beach au Mikocheni? Au nisijisumbue niende tu nikatafute maeneo ya Mbezi beach, Kijitonyama na Makongo...
0 Reactions
56 Replies
6K Views
Tuko Mbezi GOBA karibu na msikiti njia panda ya Kinzudi, kwa maneno mengine njia panda ya kwenda Goba sekondari. Tunamkaribisha mteja yeyote mwenye kuhitaji mchele safi kwa mauzo ya jumla. Kwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
We have all kind of used cars from muscat oman to daresalam port for good price
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Waungwana wanajf kuna viwanja vinauzwa maeneo ya chamazi mbagala vinapimwa kwa mita futi kuanzia 40x60 na kuendelea utakavyo mteja kupimiwa bei ni kuanzia 2milioni na kuendelea kwa anayehitaji...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
habarini wadau nilikuwa nauliza bei ya hiyo simu kwa bei ya jijin Dar es salaam nitapata kwa Tsh ngapi kwa simu Mpya?
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Nauza shampoo beipoa lita5 sh 7,000,litamoja 1,500.nipo dar tuwasiliane 0717215506,ukiniuzia madumu10 ya lita5 nakupa pesa.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
LAPTOP DELL MPYA KWA 350000 80 GB ram 512 no 0764435828 au 0718512630, 0713785446....
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nataka kufanya biashara ya kuuuza vinywaji moto na baridi morogoro mjini.Kama kuna anayejua existing bar inayokodishwa ili nianzie hapo, anijuze tafadhali hapa au PM
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Natafuta gari ya kukodisha kwa muda wa siku 3 iwe na uwezo wa kuchukua watu zaidi ya saba na iwe katika hali nzuri.iwe ya bei nafuu na haitajiki dereva
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kama kichwa kinavyojieleza,bajeti yangu Tsh 120,000,iwe na uwezo kwenye internet na inayokaa na chaji,hata used iliyo katika hali nzuri
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Shamba hilo lipo kijiji cha Lupunga barabara ya Mzenga bei 1m kwa heka nitafute kwa 0717000990.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kampuni au mtu binafsi anahitajika kuwekeza na kuendeleza machimbo ya RUBBY,DHAHABU na Gemstone.. Mgodi upo matombo Morogoro At Nyamhui gold mining. Hata akitokea mtu akihitaji kununua eneo zima...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Mkuu kama kuna mtu anaemfaham mtu yeyote mwenye uwezo wa kufundisha Financial acc or managerial financial management tuwasiliane tuongee biashara. Mwanafunzi ni mjasiriamali anaehitaji...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Sucessful people,in every walk of life,think and talk about what they want most of the time.They think and talk about the future and how they can make it a reality.They are continually thinking...
0 Reactions
0 Replies
697 Views
Back
Top Bottom