Wakuu nina nyumba nyakato temeke, mita 200 tu toka barabara ya mwz-musoma,ina vyumba 3 kimoja self contained, ina fance ya ukuta, sebure kubwa, dinning, nje pana servant quota chumba na choo/bafu, car park kubwa,umeme na maji , kodi ni maeleewano poa sana. nahitaji mtunzaji mzuri. au PM email jifunze.learn@gmail.com