Kampuni ya Kusaidia kutoa Mzigo Bandarini

Kampuni ya Kusaidia kutoa Mzigo Bandarini

CHASHA FARMING

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2011
Posts
7,950
Reaction score
9,509
Wakuu kuna mashine fulani nataka kuagiza from China, na inaweza fikia Bandari ya Dar, sasa naomba kujua utaratibu wa kuichomoa huko Bandarini, Je ni lazima kutumia mawakala hata kwa hako kazigo kamoja? na mwenye detail za hao wakala wa mizigo midogo midogo naomba anipatie
 
mkuu, bandarini lazima utumie authorized clearing agent ....
 
Na ghalama zao huwa ziko vipi? wanachaji kulingana na bei ya mzigo au ni fixed rate,
 
Na ghalama zao huwa ziko vipi? wanachaji kulingana na bei ya mzigo au ni fixed rate,

hawa wana fixed price kutokana na consignment na document (Bill of Lading) mfano: magari yanz charges zake around Tsh 300,000 .... full container ina charge zake .... na loose cargo (consolidate) pia ina gharama zake ... nahisi hiyo mashine ni loose cargo na gharama yake siyo kubwa ... ila inategemea ni mashine ya nini TRA ndiyo wasumbufu kwenye bidhaa ambazo hawana record nazo kuingia au zinazoingia kwa nadra

note: mimi siyo agent ... just some little experience on importation
 
Wakuu kuna mashine fulani nataka kuagiza from China, na inaweza fikia Bandari ya Dar, sasa naomba kujua utaratibu wa kuichomoa huko Bandarini, Je ni lazima kutumia mawakala hata kwa hako kazigo kamoja? na mwenye detail za hao wakala wa mizigo midogo midogo naomba anipatie

Ndugu!
Mashine ndio unataka kuagiza? Kama bado, nakushauri ujipange na swala la usafiri na clearing service kwanza otherwse itakusumbua kiasi fulani.

Tuwasiliane, nikusaidie nji nzuri ya kusafirisha na kutoa Tanzania.

Pamoja
 
Search kwenye mtandao Clearing Agents wa tanzania utawapata wengi. Au wewe uliza mtu pale bandarini makao makuu wana watu wanawajua wengi Clearing Agents utawapata na unaweza kuwauliza gharama zao

asante nakutakia kila heri kwenye kusaidiwa ku clear mzigo wako
 
hawa wana fixed price kutokana na consignment na document (Bill of Lading) mfano: magari yanz charges zake around Tsh 300,000 .... full container ina charge zake .... na loose cargo (consolidate) pia ina gharama zake ... nahisi hiyo mashine ni loose cargo na gharama yake siyo kubwa ... ila inategemea ni mashine ya nini TRA ndiyo wasumbufu kwenye bidhaa ambazo hawana record nazo kuingia au zinazoingia kwa nadra

note: mimi siyo agent ... just some little experience on importation

Ni incubators ya Mayai, nazani iko kwenye Kundi la Product za kilimo zisizo lipiwa kodi kama sikosei,
 
Ndugu!
Mashine ndio unataka kuagiza? Kama bado, nakushauri ujipange na swala la usafiri na clearing service kwanza otherwse itakusumbua kiasi fulani.

Tuwasiliane, nikusaidie nji nzuri ya kusafirisha na kutoa Tanzania.

Pamoja

Mkuu kutoka China haina shida make inapakiwa kwenye Meli za Kuja Dar, ishu ni kuitoa Bandarini Dar,
 
Back
Top Bottom