Ghorofa,godown na shamba vinauzwa

Ghorofa,godown na shamba vinauzwa

HIMO

Member
Joined
Aug 31, 2012
Posts
76
Reaction score
25
wana Jf naomba tena kupitia mods kuwajulisha kuwa mali nilizozitaja hapo zinauzwa na hakuna dalali hapo utazungumza na mwenye asset moja kwa moja.ghorofa lipo mbezi beach karibu na bahari ya hindi pana eneo la kutosha mita za mraba 2000 na ni ghorofa moja.godown lipo ubungo block B lipo karibu na barabara na linawafaa sana wafanyabiashara wanaojihusisha na kusafirisha mizigo(logistics)eneo ni mita za mraba 2820.pia shamba lipo hapo mapinga karibia na shule ni hekari mbili na kuna nyumba kubwa.bei ni nzuri sana kwa asseti zote.mods naomba msitoe hii kwani muuzaji anatatizo na anataka kusafiri kwenda uk.kwa mawasiliano piga 0717474904.
 
Hujaweka bei, ni moja ya vitu vinavyoweza kusababisha usipate mwitikio ulioutarajia
 
Siwezi kupiga simu kamas nina milioni 150, halafu uanze kunicheka kwa sababu hilo shamba ni 400mil ... kwa hiyo weka bei tujue kama it worth even makin' a call!!
 
Siwezi kupiga simu kamas nina milioni 150, halafu uanze kunicheka kwa sababu hilo shamba ni 400mil ... kwa hiyo weka bei tujue kama it worth even makin' a call!!

shamba ni mil90 tu,ghorofa ni mil 680 tu na godown ni bil 1.5
 
Hizi bilions kuzitamka kila mtu anaweza ila kuzimiliki na hata kuzitumia ni wachache
 
Back
Top Bottom