Mama Mdogo bana anapenda sana utani!Mandhari yake mbona kinafanana na cha mjomba wangu?? Ngoja niingie Google earth nione kama ni chenyewe au la!!!! Otherwise, nipunguzie bei nina US $ 5000 za noti za mia mia!!
Mkuu umeeleza kila kitu,hapa hakuna swali!labda ushushe bei kidogo!View attachment 78658
Wapi? Kimara Kilungule. Kilometa tatu kutoka Morogoro Rd (Kimara Korogwe/Kimara Mwisho).
Ukubwa?mita 40 kwa 20 (pamoja na eneo la bonde ambalo halijajumuishwa kwenye vipimo)
Bei?milioni 25
Sifa zingine?
. Umeme upo
. Kipo barabarani (ya mtaa)
. Ni sehemu ambayo tayari kumeshajengeka
. Hakuna dalali
Mawasiliano? 0782 230159 . karibu
Sifa zoote inacho kasoro maji tu ndo hakuna.
Maji ya dawasco bado ila kuna network ya maji ya visima wanasambaza watu binafsi.
Unaunganishiwa na kuwekewa mita.