Nauza kiwanja kimara

Nauza kiwanja kimara

kabasele

Member
Joined
Jul 26, 2012
Posts
93
Reaction score
36
plotkilunguleb.jpg


Wapi?
Kimara Kilungule. Kilometa tatu kutoka Morogoro Rd (Kimara Korogwe/Kimara Mwisho).
Ukubwa? mita 40 kwa 20 (pamoja na eneo la bonde ambalo halijajumuishwa kwenye vipimo)
Bei? milioni 25
Sifa zingine?
. Umeme upo
. Kipo barabarani (ya mtaa)
. Ni sehemu ambayo tayari kumeshajengeka
 
Mandhari yake mbona kinafanana na cha mjomba wangu?? Ngoja niingie Google earth nione kama ni chenyewe au la!!!! Otherwise, nipunguzie bei nina US $ 5000 za noti za mia mia!!
 
kumbe Kimara napo kuna "bei"!

 
Mandhari yake mbona kinafanana na cha mjomba wangu?? Ngoja niingie Google earth nione kama ni chenyewe au la!!!! Otherwise, nipunguzie bei nina US $ 5000 za noti za mia mia!!
Mama Mdogo bana anapenda sana utani!
 
Last edited by a moderator:
View attachment 78658


Wapi?
Kimara Kilungule. Kilometa tatu kutoka Morogoro Rd (Kimara Korogwe/Kimara Mwisho).
Ukubwa?mita 40 kwa 20 (pamoja na eneo la bonde ambalo halijajumuishwa kwenye vipimo)
Bei?milioni 25
Sifa zingine?
. Umeme upo
. Kipo barabarani (ya mtaa)
. Ni sehemu ambayo tayari kumeshajengeka
. Hakuna dalali
Mawasiliano? 0782 230159 . karibu
Mkuu umeeleza kila kitu,hapa hakuna swali!labda ushushe bei kidogo!
 
Sifa zoote inacho kasoro maji tu ndo hakuna.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom