Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Naomba wadau mnisaidie acre 1 inaweza kupandwa miche (pinus seedlings) mingapi? Baada ya miaka mingapi naweza kuvuna kwa ajili ya mbao? Natanguliza shukurani za dhati kwa watakao nisaidia.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Heshima kwenu brothers and sisters Nyumba ya familia inapangishwa yombo vituka nyuma ya airport.. Maarufu kama Jet lumo ( kwa jimy " woodland pub") Nyumba ina vyumba vitatu kimoja...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Ninauza kuku wa kienyeji wana umri wa miezi saba, Wapo Kimara mwisho ni wengi km 200, Kama unahitaji ni PM
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Bandugu, Je unataka kuendesha gari amabyo imetengenezwa wakati haujazaliwa au kama umezaliwa ilikuwa ikiendeshwa na mkoloni? Ni gari imetulia kama mpingo na ni ya kipekee zaidi ya fancy cars! za...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Black Berry 9300 or u can call it curve 2 na pia ipo kwa good condition it is like a brand new nicheki kwa phone namba 0717-022737...WE CAN NEGOTIATE,!
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Ipo katika hali nzuri sana,,bei 550000 Nicheck kwa 0717592335
0 Reactions
3 Replies
1K Views
1. 8 acres farm at kigamboni ,tundwi 40 km from ferry . 24m call 0786149592. 2 20acres farm at kigamboni kimbiji (puna )40km from ferry near the beach , 60mill call 0786 149 592. 3 .plot...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
hallow jamii forums, As the heading say i am selling harrier model year: 2002. the car is in a very good condition. It have been imported in the country 12 December 2012 and all the duties have...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Mashine heavy duty kwa ajili ya kukatia mikate kiwandani.Picha iliyokuwepo siyo inayouzwa ila imefanana kiasi na ipo katika hali nzuri sana.Sijaweza kuipiga picha hivo mtaniwia radhi lakini ipo...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Gari inauzwa nissan Xtrail Year 2001 imetembea KM 73874 Price 17,000,000 Contact me through alphonce@alphonce.net +255 767659145 +255 787659145
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Jiko linauzwa la kupikia mikate ni zuri sana kwa biashara na inauwezo wa kupika mkate kwa dakika kumi tu kwa kila deki.Jiko hili lina deki 4 ambalo unauwezo wakutumia deki moja,mbili ama zote kwa...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
hi Jf members, As i said in the title. am selling Rav 4 and if ur interested just contact me throw - 0716369299 model: rav 4 short chases (2 door) year: 2003 plate: T.....B.. price: 12 million
0 Reactions
7 Replies
2K Views
15.6'' screen 320 hdd 2gb ram 3.2 processor In excellent condition With window 7 and microsoft office 2013 Price 550000
0 Reactions
2 Replies
1K Views
All items were in working condition when taken out of service. Ideal for anyone interested in starting internet cafe business, schools, colleges, etc Items are located at Mbezi Beach, Dar es...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
380000 inauzwa Kama unahitaji nipm Sent from my SGH-I897 using Tapatalk 2
0 Reactions
0 Replies
731 Views
Wadau naulizia mtu anae wafahamu mafundi wa rangi za kupuliza kwenye fenicha za mbao hasa walioko maeneo ya kuanzia Kimara mpaka Mbezi mwisho/Makabe!nina vi fenicha vyangu vilikua vinahitaji...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wanajamii wenzangu karibuni tena katika uwanja wa ujasiliamali.Kwa ajili ya kuwasaidia vijana wenzangu nimekuja na mashine za kuangulia vifaranga ambayo inatumia umeme na mafuta ya taa.Hivyo kwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Incubator tofauti kuanzia mayai 24 mpaka 275 zote zinatumia umeme ni full automatic made in china ce aprovved, na kinu kimoja kinaponda kilo 100 kwa saa na kinatumia umeme nione kwa nambali...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Vimetumika kwa miezi mitatu tu vipo Mkoa wa Mtwara mjini kama unahitaji wasiliana kwa namba hz 0654 158413.
0 Reactions
7 Replies
11K Views
Habari wana Jf,natafuta uwakala au partnaship ya katika kampuni yeyote ile ya usafi au ukandalasi ili niwe nasimamia kama mambo yote katika sehemu hii nilipo.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom