Naomba wadau mnisaidie acre 1 inaweza kupandwa miche (pinus seedlings) mingapi? Baada ya miaka mingapi naweza kuvuna kwa ajili ya mbao? Natanguliza shukurani za dhati kwa watakao nisaidia.
Heshima kwenu brothers and sisters
Nyumba ya familia inapangishwa yombo vituka nyuma ya airport.. Maarufu kama Jet lumo ( kwa jimy " woodland pub")
Nyumba ina vyumba vitatu kimoja...
Bandugu,
Je unataka kuendesha gari amabyo imetengenezwa wakati haujazaliwa au kama umezaliwa ilikuwa ikiendeshwa na mkoloni? Ni gari imetulia kama mpingo na ni ya kipekee zaidi ya fancy cars! za...
Black Berry 9300 or u can call it curve 2 na pia ipo kwa good condition it is like a brand new nicheki kwa phone namba 0717-022737...WE CAN NEGOTIATE,!
hallow jamii forums,
As the heading say i am selling harrier model year: 2002. the car is in a very good condition. It have been imported in the country 12 December 2012 and all the duties have...
Mashine heavy duty kwa ajili ya kukatia mikate kiwandani.Picha iliyokuwepo siyo inayouzwa ila imefanana kiasi na ipo katika hali nzuri sana.Sijaweza kuipiga picha hivo mtaniwia radhi lakini ipo...
Jiko linauzwa la kupikia mikate ni zuri sana kwa biashara na inauwezo wa kupika mkate kwa dakika kumi tu kwa kila deki.Jiko hili lina deki 4 ambalo unauwezo wakutumia deki moja,mbili ama zote kwa...
hi Jf members,
As i said in the title. am selling Rav 4 and if ur interested just contact me throw - 0716369299
model: rav 4 short chases (2 door)
year: 2003
plate: T.....B..
price: 12 million
All items were in working condition when taken out of service.
Ideal for anyone interested in starting internet cafe business, schools, colleges, etc
Items are located at Mbezi Beach, Dar es...
Wadau naulizia mtu anae wafahamu mafundi wa rangi za kupuliza kwenye fenicha za mbao hasa walioko maeneo ya kuanzia Kimara mpaka Mbezi mwisho/Makabe!nina vi fenicha vyangu vilikua vinahitaji...
Wanajamii wenzangu karibuni tena katika uwanja wa ujasiliamali.Kwa ajili ya kuwasaidia vijana wenzangu nimekuja na mashine za kuangulia vifaranga ambayo inatumia umeme na mafuta ya taa.Hivyo kwa...
Incubator tofauti kuanzia mayai 24 mpaka 275
zote zinatumia umeme ni full automatic
made in china ce aprovved,
na kinu kimoja kinaponda kilo 100 kwa saa na kinatumia umeme
nione kwa nambali...
Habari wana Jf,natafuta uwakala au partnaship ya katika kampuni yeyote ile ya usafi au ukandalasi ili niwe nasimamia kama mambo yote katika sehemu hii nilipo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.