Fuatilia proceedings za Bunge live kwenye internet

Fuatilia proceedings za Bunge live kwenye internet

Nashukuru nimewapata ukizingatia kuwa walikuwa wamenibore sana hawa TBC wamekata mitambo hapa mwanza!
 
Asante sana Kalikumtima, lakini kwangu naona haikubali! Radio zingine nazipata lakini hiyo Mambo FM ya Arusha haikubali. Napata message 'buy item 1'!
 
Thanks. Naona imekubali, labda kulikuwa na tatizo temporary.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom