Hello Wadau!
Nyumba inapangishwa maeneo ya Mbezi Beach jirani na New Bagamoyo Rd - 150 meters approx. 300 usd per month, 12 month rent upfront. A self contained one B/Hse.
Contact 0712 477976.Thks.
Nyumba kubwa yenye rum 3 sebule, dining, chumba kmoja master, choo cha ndan, jko shiling lak tatu kwa mwezi. Kodi ya mwaka mzma. Haina get. Pga cm 0713401812
Wanachama wa jf ninabiashara ya pempasi za watoto jina lake ni KIDDI LOVE ziko poa sana kimatumizi na zinapatikana kwa bei nafuu kama kuna anaehitaji kufanya hii biashara anitafute pia natafuta...
Laptop aina ya HP 550 inauzwa kwa 390,000/-
Processor type: Intel (R) Celeron (R) CPU
Speed: 1.73 GHz
RAM: 1 GB
HDD: 120GB
Optical Drive CD/DVDRW
Kwa wanunuzi tu, kama wahitaji nicheck...
Kuna nyumba inapangishwa mbezi juu Goba Road.Ina masterbed room na vyumba vya kulala viwili, sitting room ndogo na choo cha nje. Parking ya gari ipo. Maji sasa hivi yamefungwa kisiasa mpaka mambo...
Nauza extrnl hardsk aina transcend size one terabit bdo ni mpya bei 250,000 tsh. Nipo arusha kwa wale watakao hitaji. Plz ni pm kama utapend tuwa nayo au hitaji
Nyumba ya vyumba 10 (kumi) iliyomaliza kujengwa mwaka jana inauzwa. Ipo..Kata : Msongola, Mtaa:Yangeyange, Wilaya: Ilala, Mkoa: Dar Es Salaam, Ina umeme, upatikanaji wa maji, ipo kilomita chache...
Tunauza na kusambaza software za ACCOUNTS,SACCOS NA Community banks hapa Tanzania.Yeyote mwenye kuziitaji just PM me for free demo and price zaidi tembelea hapa Trust Systems & Software is a India...
Blackberry torch 9800 white imetengezwa hungary inauzwa kwa shilingi za kitanzania laki 3 (300,000),imetumika.
simu ipo katika hali nzuri bila ya tatizo lolote,with original battery na original...
nokia 603 inauzwa, imetomika lakini bado ipo
katika hali nzuri.
Bei: 300,000 maelewano yapo.
Kwa anayehitaji piga 0717354243
Features zake ni
5MP camera Internal memo: 2 GB (340 MB user...
Habari wana JF, mwenye uzoefu na hii kitu anisaidie. Nimeagiza gari ndogo Japan, bahati mbaya imekuja bila ile inspection certificate (inakuwa na chata ya JAAI), na kinachoonekana jamaa...
Ndugu zangu wanaJF nimepatwa na tatizo nahitaji mkopo wa fedha sh.milioni mbili.Ndani ya mwezi mmoja nitakuwa nimerejesha.
Kwa yeyote mwenye uwezo ama anaefahamu watu wanaoweza kunisaidia aniPM...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.