Kuna watu hapa mjini wananunua tena Mark 11 baloon siku hizi? Labda ulipeleke Mererani kule bado kuna watu wanapenda hayo antiques .Toyota mark 2 baloon
4 sylinder, nyeupe , ya gia
ipo ktk khari nzuri sana bei 3.8m
0657 145555, 0755 099 291
Mi nataka ambayo haina giaToyota mark 2 baloon
4 sylinder, nyeupe , ya gia
ipo ktk khari nzuri sana bei 3.8m
0657 145555, 0755 099 291
Kuna watu hapa mjini wananunua tena Mark 11 baloon siku hizi? Labda ulipeleke Mererani kule bado kuna watu wanapenda hayo antiques .
Mara ya mwisho kufika huko mererani ilikuwa 2004/2005, kama sasa mnasukuma LX na TX basi mko Juu. Msalimie askofu.Weeee.....Mererani tunatumia ma LX, TX na ma hzj79 macho panzi......tutake radhi tafadhali......
tuwasiliane nikupatie mkuu 0657 145555Mi nataka ambayo haina gia
Mwaka 1994 ipo hapa kinondoni njoo uioneNi ya mwaka gani kweli ?????
unaua kiongozi panda mpak 3.5 nakuachia mzigoM.2 nikuletee mteja?
unaua kiongozi panda mpak 3.5 nakuachia mzigo
upo kiongozi nivutie waya tumalizemkuu ulisha uza mzigo huo?