Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wadau, mimi ni operator wa hizo machine Reach/Counter balance trucks naomba mdau ambaye anafaham wapi naweza kupata nafasi ya kuzi operate anijuze tafadhali, namba yangu ni 0712 477976 Asanteni.
0 Reactions
0 Replies
847 Views
Ninauza kiwanja chenye ukubwa wa futi 50 kwa 45 Bei ni milioni 3000,000/= milioni tatu tu Kwa anae hitaji tuwasiliane kwa namba ya simu 0753868912 Au kwa email address...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nifriji used kadogo kanafaha geto lakuweka juu ya yastuli bei 130,000 cm 0712690760 linaitwa Husky lipo temeke
0 Reactions
21 Replies
2K Views
kwa wale wanaohitaj till za vodacom m pesa zinapatikana kwa kias cha shilingi laki tano bila ya float,kwa anayehitaj anitafute kwa namba 0716030083
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wadau kuna mshikaji ameangusha Driving Licence no: 400.....473, Jina la ukoo: MKUBWE. Makazi: Tanga, kama unamfamu ani PM nimpatie licence yake. By MSAMALIA MWEMA.
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Nyumba iko safi kabisa na inafance kubwa na uwanja wa kutosha na mahali pazuri. Inavyumba vinne(4) vyote self, na sitting room nzuri, dinning, jiko, store, veranda mbele na nyuma na toilet ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Supplier mkubwa wa suits kwa botiques nyingi hapa jijini Ameleta mzigo mpya wa uhakika. Na sasa ameanza kusupply rejareja, unampigia simu anakutumia uletewe popote ulipo DSM unaikagua ukiridhika...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Nyumba ya kawaida inauzwa sh. Mill 35, ina eneo kubwa. Na Shamba lina uzwa mill 25, lina miembe,minazi, vyote hivyo vipo kibaa mwendapole. Kwa maelezo zaidi piga namba hizi :0717 008781 / 0656652807.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nina story kali za filam, kwa anayohitaji story za filam za kifalme, za vijijini, za kimjini na tamthilia, zote ni hot, 0764434673
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Kiwanja chenye ukubwa wa ft100 kwa ft110 kinauzwa, kipo mbande hatua chache kutoka stand kama unaelekea mvuti. Nikizuri sana na bei yake ni mzuri sana. Ukiwa unahitaji ni PM. Nashukuru kwa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
habari zenu wakuu. Naomba msaada kwa members wa morogoro wing, nimehamishiwa moro kikazi, naomba msaada kwa anaemjua dalali wa nyumba anipatie namba zke. Or kwa anaeweza kunisaidia kupata chumba...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wakubwa natarajia kuja Tanga next week Tuesday 19-02-2013 na nitahitaji PA system katika shughuli yangu. Mwenye nayo au contact tafadhali anipe PM this is urgent please. Hii itakuwa kwa ajili ya...
0 Reactions
0 Replies
681 Views
Kwa kweli kwa mtu anaejali ubora wa ngozi yake, basi tafadhali ajaribu sabuni hizi, zimetengenezwa kwa njia ya asili ni Tiba na kinga ya uhakika kwa ngozi yako pia zinakat chumvichumvi iliyoko...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wanajamii msaada wenu sehemu ya kufanya tempo hata kama si kwa malipo cha msingi kujifunza katika fani ya computer science.
0 Reactions
0 Replies
674 Views
Mimi natafuta mwalimu kutoka Arusha, kilimanjaro, au manyara tubadilishane yeye aje iramba singida,
0 Reactions
5 Replies
2K Views
White in Colour , China copy TSH 250,000 call 0765550340
0 Reactions
3 Replies
872 Views
Pata bata mzinga wakubwa kwa wadogo wenye uwezo wakua na mpk na kilo 15 mkubwa pia bata bukini wanapatikana number yangu 0757-662401 karibu
0 Reactions
1 Replies
1K Views
nauza external hardrive mpyaaaaaa na seal zake ni ya transcend one terrabyte kwa alietayari tuwasiliane kwa number hii 0717957070 na hata kwa installment hella yako itapokelewa
0 Reactions
9 Replies
2K Views
kwa maelezo zaidi tembele website yetu www.jordanexpress.co.tz sign in ili uweze kujipatia up dates za vifaa tofauti kama spare za magari pikipiki generators vifaa vya kutengeneza barabara...
0 Reactions
29 Replies
5K Views
Nina shida ya haraka sana na galax pocket mwenye nayo plz aniuzie,nina Tsh 150,000/= lakini inaweza kupungua kutokana na hali ya bidhaa.No yangu ni 0712494808.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom