Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nyumba ya Ghorofa moja inauzwa Kinondoni Mil.620 unaweza kuingia na kuishi iko katika hali nzuri,maelewano yapo,kwa anayehitaji anipigie 0713166237.
0 Reactions
4 Replies
980 Views
jamani kwa wale ambao wanatafuta fundi wa computer nipo unaweza kunipigia 0655684396,nafanya installation ya windows ssp2,ubuntu,ssp3,7,antivirus,maintanance
0 Reactions
0 Replies
1K Views
wadau kwa anayefahamu utaratibu wa kupata viti ,meza na friji kutoka kwenye makampuni ya soda(pepsi & cocacola) na bia kwaajili ya Bar ,naomba anifahamishe.
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Cif dar tzs mil 32
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wadau naulizia bei ya water tanki lenye kuchukua ujazo wa lita 5000. kama inawezekana mwenye ufahamu na haya mambo anipe bei na kiwanda lilipotengenezewa. Natanguliza shukrani zangu.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nyumba ya kupanga inatafutwa, iwe na vyumba viwili vya kulala na kimoja ni master na choo cha public kizuri, sebule, jiko safi, stoo na vyumba vingine muhimu, maeneo kuanzia kurasini, chang'ombe...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Gari hii inauzwa kwa tsh.milioni 12tu iko jijini dar es salaam kwa mawasiliano piga 0719 147503,0753 009325.
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Ndugu zangu wana JF naombeni msaada, Kwa yeyote anayemfahamu fundi mzuri wa skimming, kupaka rangi, tiles na gypsum ceiling, naomba anipe contact zake either hapa jukwaani au ani PM. Site ipo...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Mazda demio 2003 duty paid 8million. 102k kms. Unapata na full tank. 0653222223
0 Reactions
1 Replies
944 Views
Wakuu nauza I pad 3 kwa Tshs 900,000/=, maongezi yanaruhusiwa.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nauza line ya voda ina 1 month unlimited internet. Naiuza kwasababu eneo nilipo hakuna network ya voda. imetumika siku 8.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
RAUM ya mwaka 2000 ipo katika hali nzuri sana. Cc1490, km 93000, Bei 7.35million. Reason 4sale :Nimenunua gari nyingine. 0715757272 Dar es salaam
0 Reactions
7 Replies
2K Views
NAUZA GOOGLE NEXUS 7 TABLET,IMETOKA USA AND VERY LITTLE USED. PRICE 550000/= CALL O714486466 Display [*=left]Type7 in, IPS TFT active matrix - LED backlight [*=left]Display Resolution1280 x...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ikiwa bado ni siku kadhaa kabla ya mfumo wa Analogue Broadcasting kuzuiwa rasmi, Watanzania esp. wakazi wa jiji kuu wapo katika pilikapilika za ununuzi wa ving'amuzi ili waendelee kupata huduma ya...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Nissan Xtrail GT inauzwa Man. Year:2001 Mileage:110000km Transmission:Automatic,4WD Engine Cap:2000cc,NT30 Working:Anti-Lock Brakes / Driver Airbag / Passenger Airbag / Power Windows / Rear...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Iphone 4 32 gb nyeupe ni mpya kabisa locked kwa laki 4 na nyeusi locked imetumika kidogo laki 4 nione kwa 0718656566
0 Reactions
2 Replies
951 Views
Anayefahamu tovuti ambayo naweza kupata user manual ya gari ya Nissan Wingroad 2003 iliyo katika lugha ya kiingereza naomba anifahamishe. Hawa jamaa sijui kwa nini wanaandika user manual zilizo...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Vitalu/Plots/Primary Mining License (PMLs) za madini ya Dhahabu na Shaba zinauzwa kwa bei nafuu sana Eneo/Location: 1. Iramba Singida vitalu (34) vya Dhahabu - - - - - - - - - - - - - - - 2...
0 Reactions
14 Replies
5K Views
Kipo KIPALANG'ANDA-MKURANGA KARIBU NA BARA BARA KUU IENDAYO KUSINI..... NGUZO ZA UMEME ZIPO TAYARI MUDA WOWOTE UMEME UNAFIKA,,MAENEO YANA WAKAZI WENGI NA MJI UMECHANGAMKA NI MAENEO YA STENDI YA...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Hey! habari jamani, nahitaji kununua cherehani hebu mwenye uzoefu na hizi vitu anisaidie kunipa detail yoyote kuhusu aina nzuri na bei hasa nzuri za cherehani.
0 Reactions
5 Replies
9K Views
Back
Top Bottom