jaman naomba msaada m
wenye kujua bei za mabat ya araf haya ya kawaida hacha yale ya migongo mipana kwa kiwanda wanauzaje moja na wanauza kuanzia mangap.
Ndugu msomaji nauza mbwa wa ulinzi aina ya German shephered kama anavyoonekana kwenye picha.
bei ni 350,000/- tu. Kwa wale wote wanaohitaji tafadhali ni PM kwa maelezo zaidi.
Asante
Mimi ni kijana umri wangu 28 nahitaji mke kwayeyote anaejiona kua ana sifa na vigezo vinavyomfanya astaili kuitwa mke ajitokeze tujenge familia umri wake miaka 21 mpaka 24 yrs awe ni mtu mwenye...
Kichwa cha habari chahusika mini laptop ikiwa na specification zifuatazo kwa Tsh 300,000
Processor- Intel (R) Atom (TM) CPU 1.67 GHz, 1GB RAM, 220 GB HD, Window 7 starter, ESET node ant virus...
wakuu kwa yeyote anayeuza straw cutting machine kwa ajili ya kukata majani makavu kama ya maganda ya ndizi,au mpunga yenye uwezo wa kukata nusu tani kwa siku,bei iwe affordable,nmeweka sample ya...
Simi inauzwa Samsung SGH-i917R windows phone bei laki 2naelf sabini wi-fi connection network simu 0712690760 ins mwezi tokea inunuliwe utapewa chaji na headphone Ipo dar es salaam
Nahitaji solar backup plan ya nyumba yangu ya kuishi iwe ina uwezo at least kuwasha fridge ya kawaida, tv set,taa za ndani na nje plus accesories ndogondogo kama laptops na kuchaji simu. nipo dsm...
Model LG c900
2-carrier :AT&T wireless
3-Software :windows phone7
4-total storage:14.94Gb
5-Available storage:14.02Gb bei laki2wi-fi internet full speed mawasuliano 0712690760 ina siku 7...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.