Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

KIWANJA KIKUBWA 70*70 (EKARI MOJA) AMBAKO NDANI KUNA NYUMBA MBILI - Moja ya kupaua na ya pili IMEFUNIKWA NA MADIRISHA TAYARI ni finishing ndogo ndogo tu. Tuone wazee wa kazi dodoma tukupeleke...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nauza professional camera..zipo nje ila kwa atakayehitaji I will deliver within 1-2 weeks...sihitaji advance kwa atakayehitaji ila awe ni mteja. Ni imara na genuine si za mchina. 1. Canon...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
habarin za kazi watanzania wenzangu mim ni mtanzania mwenzenu ninae tafuta maendeleo nina shughulika na shughuli za bima kwa lugha nyingine ni insuarence agent bima zitolewazo no .bima za magari...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
vina ukubwa kuanzia mita 20*20 bei milion 2 na kuendelea... miundombinu ya barabara ipo.. wahi sasa kabla huja chelewa. (kwa taarifa zaidi piga 0715055577/0769055577)
0 Reactions
13 Replies
2K Views
samsung ipo katika hali nzuri na imeambatanishwa na visaidizi vyake kwa bei ya tsh 180,000 tu. wahi sasa! wasiliana nami kwa 0716300091/0753686485
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nauza kiwanja maeneo ya Kinondoni B, Natafuta dalali au mnunuzi Kama mtu Yeyote ana taarifa naomba tuwasiliane Au Kama unajua njia za kupata mteja kununua Kiwanja Dar naomba tuwasiliane...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
wakuu mimi nafanya biashara ya kuuza ndizi mzuzu hua nazitoa morogoro na kuziuza kwa jumla hapa dar,kama kuna dalal mzoef ama mwenye kuhitaj kwa kias kikubwa anitafute kwa 0716030083, mkungu...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kwa bei nafuu tuu, na zaidi ya yote kuna option ya kukuwekea apps nyingi muhimu kama za kusoma na kuandika documents (QuickOffice, Pages- Yaani mambo yote ya documents, powerpoints n etc)....games...
0 Reactions
0 Replies
655 Views
Habari wana ndugu!! Leo nawaletea BB bold 9780 white na charger na cable na cover kwa laki 2.8 !! Pia ipo BB torch 2 kwa laki 3.8 na vifaa charger na cable Both in good condition 0787 408180...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Picha za post yangu ya awali Nisameheni maana am working all this through a 2G network system phone
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Natafuta mtu anisaidie kununua bidha mtandaoni iwe amazon au ebay.nipo Arusha.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
nahitaji gari hilo Pm au piga 0788011868
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Grand Vitara ya mwaka 2000 Silver in color, three door it is out there for sale. Contact No. 0712 477976
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari! Nilikua naomba msaada wa contacts za fundi ambaye anaweza kunitengenezea laptop yangu imezima gafla haiwaki
0 Reactions
2 Replies
1K Views
kwa yeyote mwenye idea na fundi mzuri mwaminifu wa amprifire moshi/arusha let me know?????:violin:
0 Reactions
0 Replies
751 Views
SUPPOTING EDUCATION TO RURAL AFRICAN CHILD-(setrac foundation) tufuate kwenye facebook ni asas mpya inayotafuta vollunteers then tutawapa award au ajira
0 Reactions
4 Replies
989 Views
  • Closed
Samsung Galaxy S3, Simu hii imetumika kwa muda wa miezi miwili iko katika hali nzuri na haina mikwaruzo yoyote,pm kama unahitaji...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
natengeneza Posters za matangazo ya biashara,promotipn n.k,nadizaini DVD cover za aina zote,graphic designing,photo editing za za hari ya juu na kutengeneza logo za aina zote. huduma zote hizo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
ni mpya, factory unlocked ipo KWENYE BOX na ina all accessories.. SMS/CALL 0763299478 @ 600,000
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Eti jaman zile joystick za computer (kama pads za playstation)zinaplay game yeyote au ni game zilizokwenye cd yake tu?
0 Reactions
2 Replies
950 Views
Back
Top Bottom