Nokia x2-01 inatafutwa

Nokia x2-01 inatafutwa

ngosha2011

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2011
Posts
681
Reaction score
87
Mwenye nokia x2-01 hata used aniambie sh ngapi naitaka namba yangu ni 0755065418,ukiwa mwanza itakuwa vizuri zaidi
 
Niko mwnza nina noki x2-01 ina watsaap na huduma zingne bei laki moja na 70 ,,kama unataka n pm tumalizane hapa kabla ya kutafutana kwenye no
 
Nipo Mwanza nina simu hiyo uitakayo, haijawahi kufanyiwa matengezezo yoyote na imenunuliwa mwaka jana mwishoni. Sema una bei gani tufanye biashara!
 
Back
Top Bottom