Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nyumba iko kinyerezi(ulongoni) ina viumba 4 kimoja master ina dinning,sitting room,tiles,gypum na msingi wa ukuta(fece) na msingi wa nyumba ni mrefu 0714 119988 jemedary {wahi mapema}
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Shamba lenye ukubwa wa ekari 200 lililopo bagamoyo kijiji cha kidomole likiwa limepakana na barabara ya kwenda msata linauzwa.bei ya kila ekari ni 450,000,unaweza kununua ekari zozote...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa yeyote anayeuza simu(samsung galaxy s3) hyo hapo juu(second hand), anitumie PM kwa maelewano zaidi.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Natafuta cd za game ya computer especially PES 2013
0 Reactions
19 Replies
4K Views
Habari zenu wakuu wajasiriamali? kuku wa miezi nane tayari wanataga na wana afya nzuri wanapatikana kwa bei nzuir.Kwa anayehitaji wasiliana 0713 48 29 01 Dar Es Salaam .Idadi ya kuku wanaouzwa ni...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Apartment inauzwa mikocheni ipo nyuma ya supermarket ya Tsn. Kwa mawasiliano piga 0717 11 12 12/0766 11 12 12
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tunauza Concrete Mixer good condition honda engine,ina stand yake, bei maelewano wasiliana nasi 0713058290/0712928272
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu mambo vipi? naitaji kampuni ambayo inaweza kununua Diamonds nina Mzigo wa kutosha.. kama kuna mtu anafahamu kampuni yoyote ambayo inafanya hiyo biashara please anijulishe kwa PM
0 Reactions
1 Replies
1K Views
panasonic lumix SLR 10 MEGAPIXEL, NIKON D40 SLR 6.1 MEGAPIXEL , NIKON D50 10 SLR 10MEGAPIXEL ZOTE ZIPO KATIKA HALI NZURI PIGA SIMU 0712652110 DAR
0 Reactions
1 Replies
976 Views
Bus aina ya Yu Tong used kiasi linahitajika kwa yeyote mwenye taarifa za muuzaji. Hali ya gari iwe inaridhisha Iwe na uwezo wa kwenda route za mbali kama vile kahama, mwanza, arusha etc Isiwe...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Natafuta taa za solar za kusomea. Nitapata wapi hapa Dar? Naomba location na contacts za wauzaji kama inawezekana. Nahitaji nizipate kesho. Maana hawa watoto wetu wanafeli vibaya mno, wengine...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habar jf. Ipo mashine ya kuangua vifaranga vya kuku -incubator. Ni manua na Inauwezo wa kubeba tray 8 za mayai. Ipo mwenge dsm. Bei ni mil 6. (Negotiable) 0713401812
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mganga wa jadi toka tanga ,yupo jijini dar es salaam anatibu magonjwa mbali mbali kwa ktumia dawa za asili yaani miti shamba hususani mizizi kwa wanawake wenye matatizo ya uzazi pamoja na wanaume...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Nyumba yenye uwezo wa kua na ofisi inahitajika haraka Hello Nna kampuni ndogo inayofanya shughuli mbali mbali ila sijapata point nzuri ya kueka physical address. Kama yupo yeyote mwenye...
0 Reactions
0 Replies
798 Views
Hey there Wakuu nahitaji kusafisha cheti changu cha form 4, kuongezea pass 1 tu katika masomo niliyo chemsha. hii ni ili kuweza kukidhi qualification entry za chuo (certificate level). natafuta...
0 Reactions
33 Replies
5K Views
ninauza toshiba brand new haijatumika kabisa Ni Toshiba satelite c855-s5108 Specifications Intel® Core™ i3-3120M Processor 2.5 GHZ, Windows 8, 15.6" widescreen, 4GB DDR3 1600MHz memory, 500GB...
0 Reactions
0 Replies
719 Views
Mganga wa jadi toka tanga ,yupo jijini dar es salaam anatibu magonjwa mbali mbali kwa ktumia dawa za asili yaani miti shamba hususani mizizi kwa wanawake wenye matatizo ya uzazi pamoja na wanaume...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wapendwa natafta perfume designer hapo juu inaitwa just cavalli her, nmeitafta sana hapa dar cjapata nililetewa na mdogo wangu wakati anatoka Italy, ameshamaliza shule harudi tena, nisaidieni...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nina pikipiki nauza aina ya honda CG kwa laki nane cal 0714064767
0 Reactions
0 Replies
806 Views
Back
Top Bottom