CHUMBA CHA KUPANGA
Chumba kinapatikana maeneo ya Fao-Morroco-Mwenge karibu na raundi about ya kwenda Msasani, Posta na Magomeni, Bei yake ni 55000 kwa mwezi na inatakiwa mwaka mzima, kiko...
Hello guys!!
Naomba msaada wa kuelezwa wapi nitapata vifaa vya baby vyote under the same roof kwa hapa Dar es Salaam. Kuanzia swings, strollers.... Toys za maana... Please. And at a good price...
Gari iPo Dar, kama Unania ya kununua Tafadhari wasiliana nami kwa Kuni-PM. Bei ni Maelewano! Nimeambatanisha details na Picha
Details:
Make: Suzuki Curry model 1991
Type: Truck
Egine Capacity...
Ndugu zangu natafuta Toyota Starlet, 1,290cc, Petrol, Mileage isiyozidi 120,000km. Bado iwe in good condition tafadhali!
If you have one or you know someone please help. Niko Moshi lakini mahali...
Mwaka: 2003
Aina: Toyota Raum new model
Rangi : silver
km: 67,000
Bei : 11,500,000
Mawasililano: 0657 145555 au 0772 008866
gari ipo kinondoni Dar es salaam. tuwasiliane kwa mahitaji ya gari hili...
kiwanja kimepimwa kinauzwa,
kipo Mbweni Mpiji
Ukubwa ni Square metre 685
Bei ni: 47 Million
contacts: 0715353108 au 0756144060 Email: mwamalekela@gmail.com
ndugu watanzania mimi kipato changu ni cha chini sana lakini mahitaji gari kwa ajili ya kufanyia huduma mbalimbali....ambapo huduma kubwa ni kuhudumia wagonjwa mahospitalini kila...
Wadau natafuta nyumba ya kupanga arusha maeneo maeneo ya mjini au karibu na mjini .
Iwe na vyumba 2 vya kulala,sebure,jiko na iwe self contained.kodi isizidi 200,000 kwa mwezi.
Call me at 0653...
ninafanya graphics
nadesign picha
natengeneza banners,logo,dvd cover designing,posters za mabango ya matangazo n.k
nshatengeneza posters za barnaba na diamond kma hiyo kwenye picha
ofic zangu...
Habari za mchana..
Huwa naona sa watu wanaandika hivi
3S-FE 2.0L engine, 4WD)
1ZZ-FE 1.8L engine, 2WD)
Hizo huwa ni nini?? Husadia nini katika utumiaji wa magari..
Asanteni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.