Nahitaji nyumba ya kupanga maeneo ya ubungo hadi kimara baruti yenye vigezo vifuatavyo:
Vyumba vitatu, kimoja master.
Iwe na parking na iwe ndani ya fence
Iwe na jiko dining na store
Kodi isizidi tsh 250,000, malipo kwa miezi sita.
Kama una nyumba hiyo, ni pm, au weka contact zako hapa nitakutafuta.
Vyumba vitatu, kimoja master.
Iwe na parking na iwe ndani ya fence
Iwe na jiko dining na store
Kodi isizidi tsh 250,000, malipo kwa miezi sita.
Kama una nyumba hiyo, ni pm, au weka contact zako hapa nitakutafuta.