Kunamtu umu jamvini aliwai kusema kua kuna pikipiki zakichina aina ya toyo 150 au 125 mpya kwa laki 9 yupo wapi naomba kuwasilisha oja kama yupo zinaitajika anipm
:high5::high5::high5::high5::high5::high5::high5:mimi ni mama nauza gari aina ya nisssan patrol
green colour
engine 42D
cc 4500
4wd drive
year 1994
manual, super roof ipo ktk hali nzuri
Full AC...
For Sale
Toyota Hilux Surf 1993
Engine: KZN 3.0 Diesel
Transmission: Automatic
AC
Power Windows
Sunroof
Never wrecked
Clean interior
Regular Service
Non-smoker
Color...
Shamba kubwa linauzwa lenye sifa zifuatazo:
Ukubwa: Ekari 4
Eneo: Mapinga - Udindivu
Maji yanapatikana karibu
Kuna nyumba iliyojengwa katika shamba hilo
Bei: Millioni 65 na maelewano pia yapo...
Wajameni, nina banda lipo Lufungira, lina vyumba 9 na lina wapangaji, ninaliuza, kwa ambaye yuko interested, tuwasiliane ili nimpeleke akapaone na tufanye biashara. bei ni 48m mwisho 45m. whoever...
Habari zenu JF Members,
Inahitajika nyumba ya kupangisha....iwe either kinondoni,kawe au mikocheni..mpangaji ni single.iwe na choo cha ndani,jiko, sebule na chumba cha kulala.PM me (na rent kwa...
ofa kwa wale watu wa maakuli tunauza viungo vizuri kwa afya bora
soya
tea masala
mdalasini
pilau masala
tangawizi
iliki
mbogamboga
bei kuanzia 3000- 5000 ukita jumla pia utapata
no 0712 454307
Habari wana JF? Nahitaji nyumba ya kununua iwe Mbezi ya beach/Juu,Tegeta,Boko,Bunju na Mbweni.Mwenye taarifa anisaidie tafadhali.Vyumba vitatu,master,dinning na iwe na uwanja kubwa na kiwe na...
:rockon::rockon:Inauzwa nissan patrol safari super roof
sifa:
colour: green
Engine: 42D
Fuel: diesel
cc : 4500 fuel injection
year : 1994
ipo katika good condition, Full AC, 4wheel drive, right...
Ni mafuta yenye kinga na virutubisho vingi mwilini, kwa walioko Kagera - Bukoba, ni Talent Shop mtaa wa Mafumbo. kwa mawasiliano zaidi piga number 0754-766029. Karibuni mpate elimu na maelekezo...
Nina kiwanja kizuri kipo maeneo ya nyakato nyasubi chenye nyumba mbili za nyuma, nyumba moja ina vyumba viwili na sebule na ya pili ina vyumba vinne pia pana eneo la kutosha kwa ajili ya nyumba ya...
Ndugu wapendwa, naomba kujulishwa wapi (Mwanza au Dar) naweza kununua haya magodoro fulani hivi yanakua laini sana, wengine wanayaita magodoro ya sufi, mahotel makubwa yote kama New Africa hotel...
Nina kiwanja kizuri kipo maeneo ya nyakato nyasubi chenye nyumba mbili za nyuma, nyumba moja ina vyumba viwili na sebule na ya pili ina vyumba vinne pia pana eneo la kutosha kwa ajili ya nyumba ya...
Muonekano: Ni nyumba ya ghorofa 5 yenye vyumba 42
Ina vifaa vyote muhimu vinavyohitajika.
Sehemu: Manzese
Bei: Billion 3 maelewano pia yapo
Unaweza kufanya mawasiliano kwa namba 0754479625
Shukrani.
Nyumba nzuri sana inauzwa na ina sifa zifuatazo:
Muonekano: Ni nyumba ya ghorofa 5 yenye vyumba 42
Ina vifaa vyote muhimu vinavyohitajika.
Sehemu: Manzese
Bei: Billion 3 maelewano pia yapo...
Shamba kubwa linauzwa lenye sifa zifuatazo:
Ukubwa: Ekari 4
Eneo: Mapinga - Udindivu
Maji yanapatikana karibu
Kuna nyumba iliyojengwa katika shamba hilo
Bei: Millioni 65 na maelewano pia yapo...
used galaxy tab in very good condition, still with its first Screen protector and no scratches, Comes with a chager and leather cover. 2G and 3G Networks, 16 GB, 512 RAM, 3.15 MP Primary camera...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.