Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

husika na kichwa cha habari mimi nipo Dar es salaam ninahitaji msaada wa mawazo mimi nina 250k nahitaji dish kubwa ambalo nitaweza kuona local channel pamoja na channel wa nje hususa ni za europe...
0 Reactions
0 Replies
969 Views
Wakuu salama ? Tunatafuta suzuki Carry iliyotumika sio zaidi ya mwaka mmoja ya kununua, iwe na hali nzuri na inafanya kazi, isiwe na kasoro yeyote, kwa yeyote mwenye taarifa au mwenye nayo, ani PM.
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Nahitaji CHEREHANI ya kusukuma kwa miguu (manual), nzima, bora, mpya au iliyotumika. Shilingi ngapi za Kitanzania? Bei inazungumzika? Inamhusu anayepatikana 'Muheza' au'Tanga mjini'. Tuwasiliane...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wadau, nataka ku import nondo, ila nataka kujua duty before processing! But mtu yoyote mwenye idea anisaidie! Cheers
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wana jf nihataji kununua rav4 milango mitatu ya mwaka 1996-1999 (auto) ambayo ipo ktk khali nzuri. Bei isizidi 9m. Mwenye kuweza fanya hiyo biashara ani pm. Natanguliza shukurani!
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Toyota Brevis, 2002 year, 65,700KM with LCD touch screen, Dark blue color, one owner, non smoker, in very good condition, For sale at 14.5M. Kwa mawasiliano 0713 332019.au email...
0 Reactions
14 Replies
5K Views
M.I.C.L Ni wauzaji wa Tracksuits size zote,wadogo kwa wakubwa.Za kike na Kiume,Jumla na Reja reja.!Tupo Dar&Arusha.Tunapokea Order za shule na bei yetu ni pouwa sana.!Call/Sms/whatsapp 0786 637775
0 Reactions
0 Replies
1K Views
natafuta external tv tuner lakin iwe dvb-s2 compatible.
0 Reactions
1 Replies
881 Views
Hello wa ungwana,mimi natarajia kuwa tanga siku za karibuni.Nahitaji nyumba ya self contain ya vyumba viwili ya kupanga.Mwenye habari yeyote anaweza nitumia email kupitia joemchina@yahoo.com
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kwa wale wanaopendelea kitoweo cha nyama ya mbuzi tafadhali piga 0659604089. Mbuzi wapo watano wasiopungua kilo 40 kwa uzito na zaidi, nawauza baada ya sehemU ya kuwafugia kukosekana!!
0 Reactions
17 Replies
6K Views
I have got Brand NEW BOXED iphone 5 for sale and used iphone 4 (in mint condition). If you are interested send me private message. All the phones are UNLOCKED. Iphone 5 Tsh. 1,100,000 Iphone 4...
0 Reactions
2 Replies
757 Views
Ninauza kiwanja eneo la Pugu. Kimepiwa, kipo nyuma ya makazi ya Waziri Mkuu Pinda. Kina offer. Kina ukubwa wa 45 Kwa 26 sawa na square meter 982. Umeme umefika. Ni mita 190 kutoka barabara ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nahitaji CHEREHANI ya kusukuma kwa miguu (manual), nzima, bora, mpya au iliyotumika. Shilingi ngapi za Kitanzania? Bei inazungumzika? Inamhusu anayepatikana 'Muheza' au 'Tanga mjini'...
0 Reactions
0 Replies
837 Views
Gari inauzwa iko katika halinzuri sana Bei ni 14m Kama uko intrested ni pm Or Cont 0654160092
0 Reactions
0 Replies
876 Views
kinaitwa ''IJUE ADARA YA USALAMA WA TAIFA'' By Godwin Chilewa. kama kuna mtu anajua kinapatikana wapi anisaidie, nimeshindwa kununua soft copy yake kupitia Amazon. pia kama kuna anaeweza kukinunua...
0 Reactions
0 Replies
765 Views
Nahitaji huo waya alokua nao anambie tuongee bei. Najua kuna power cable muundo tofauti lakini mimi nahitaji ule ambao una ncha sita, 3 juu, 3 chini isiwe oval shaped but iwe kama square shaped...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Toyota land Cruiser 4WD, 1993 in very good condition in Morogoro Asking price 15M madalali wanaruhusiwa
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari zenu, Natafuta nyumba ya chumba kimoja self, kuwe na choo cha wageni, sitting room na jiko, nyumba iwe katika maeneo hayo niliyoyataja, ahsanten
1 Reactions
4 Replies
2K Views
kiwanja kipo Dar-es-salaam tabata segerea kina offer na ukubwa ni square meter 746 kinauzwa mil. 17. anaeitaji aniPM
0 Reactions
3 Replies
993 Views
natafuta mtu wa kunichorea nyumba, please PM me if you are or if you know someone.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom