husika na kichwa cha habari mimi nipo Dar es salaam ninahitaji msaada wa mawazo mimi nina 250k nahitaji dish kubwa ambalo nitaweza kuona local channel pamoja na channel wa nje hususa ni za europe...
Wakuu salama ? Tunatafuta suzuki Carry iliyotumika sio zaidi ya mwaka mmoja ya kununua, iwe na hali nzuri na inafanya kazi, isiwe na kasoro yeyote, kwa yeyote mwenye taarifa au mwenye nayo, ani PM.
Nahitaji CHEREHANI ya kusukuma kwa miguu (manual), nzima, bora, mpya au iliyotumika. Shilingi ngapi za Kitanzania? Bei inazungumzika?
Inamhusu anayepatikana 'Muheza' au'Tanga mjini'.
Tuwasiliane...
Wana jf nihataji kununua rav4 milango mitatu ya mwaka 1996-1999 (auto) ambayo ipo ktk khali nzuri. Bei isizidi 9m. Mwenye kuweza fanya hiyo biashara ani pm.
Natanguliza shukurani!
Toyota Brevis, 2002 year, 65,700KM with LCD touch screen, Dark blue color, one owner, non smoker, in very good condition, For sale at 14.5M.
Kwa mawasiliano 0713 332019.au email...
M.I.C.L Ni wauzaji wa Tracksuits size zote,wadogo kwa wakubwa.Za kike na Kiume,Jumla na Reja reja.!Tupo Dar&Arusha.Tunapokea Order za shule na bei yetu ni pouwa sana.!Call/Sms/whatsapp 0786 637775
Hello wa ungwana,mimi natarajia kuwa tanga siku za karibuni.Nahitaji nyumba ya self contain ya vyumba viwili ya kupanga.Mwenye habari yeyote anaweza nitumia email kupitia joemchina@yahoo.com
Kwa wale wanaopendelea kitoweo cha nyama ya mbuzi tafadhali piga 0659604089. Mbuzi wapo watano wasiopungua kilo 40 kwa uzito na zaidi, nawauza baada ya sehemU ya kuwafugia kukosekana!!
I have got Brand NEW BOXED iphone 5 for sale and used iphone 4 (in mint condition). If you are interested send me private message. All the phones are UNLOCKED.
Iphone 5 Tsh. 1,100,000
Iphone 4...
Ninauza kiwanja eneo la Pugu. Kimepiwa, kipo nyuma ya makazi ya Waziri Mkuu Pinda. Kina offer. Kina ukubwa wa 45 Kwa 26 sawa na square meter 982. Umeme umefika. Ni mita 190 kutoka barabara ya...
Nahitaji CHEREHANI ya kusukuma kwa miguu (manual), nzima, bora, mpya au iliyotumika. Shilingi ngapi za Kitanzania? Bei inazungumzika?
Inamhusu anayepatikana 'Muheza' au 'Tanga mjini'...
kinaitwa ''IJUE ADARA YA USALAMA WA TAIFA'' By Godwin Chilewa. kama kuna mtu anajua kinapatikana wapi anisaidie, nimeshindwa kununua soft copy yake kupitia Amazon. pia kama kuna anaeweza kukinunua...
Nahitaji huo waya alokua nao anambie tuongee bei. Najua kuna power cable muundo tofauti lakini mimi nahitaji ule ambao una ncha sita, 3 juu, 3 chini isiwe oval shaped but iwe kama square shaped...
Habari zenu,
Natafuta nyumba ya chumba kimoja self, kuwe na choo cha wageni, sitting room na jiko, nyumba iwe katika maeneo hayo niliyoyataja,
ahsanten
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.