Nyumba ya kupanga inahitajika

Nyumba ya kupanga inahitajika

bonna

JF-Expert Member
Joined
Jun 13, 2011
Posts
855
Reaction score
520
Habari zenu JF Members,
Inahitajika nyumba ya kupangisha....iwe either kinondoni,kawe au mikocheni..mpangaji ni single.iwe na choo cha ndani,jiko, sebule na chumba cha kulala.PM me (na rent kwa mwezi)tafadhali kama unafahamu au unaweza kunisaidia .
thanks.
 
Umepata ipo mikocheni opposite na tanesco bei 250000 ina vyumba viwili vya kulala sebule na jiko choo cha nje ila kipo vizuri
0712 454307
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom