Habari wana JF? Nahitaji nyumba ya kununua iwe Mbezi ya beach/Juu,Tegeta,Boko,Bunju na Mbweni.Mwenye taarifa anisaidie tafadhali.Vyumba vitatu,master,dinning na iwe na uwanja kubwa na kiwe na document zinanzojitosheleza.Budget 65mil.Mwenye kiwanja pia maeneo hayo ntashukuru.