Nyumba inauzwa kahama shinyanga

Nyumba inauzwa kahama shinyanga

teac kapex

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2011
Posts
470
Reaction score
137
Nina kiwanja kizuri kipo maeneo ya nyakato nyasubi chenye nyumba mbili za nyuma, nyumba moja ina vyumba viwili na sebule na ya pili ina vyumba vinne pia pana eneo la kutosha kwa ajili ya nyumba ya mbele, maji yapo umeme nguzo ipo hapo ni kiwanja cha kwenye kona, wasiliana nami kwa 0769688646 au 0684247989.
Note: sijaweka picha sina utaalamu huo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom