habari jf,
gari aina ya volkswagen polo inauzwa
odometer. 84000km
1100cc
ya mwaka 2001
gud condition, haina tatizo lolote.
ipo arusha kwa sasa,
bei ni 7m, maongezi yanakaribishwa.
contacts...
Kuna wakati binadamu bila kupenda hujikuta kakumbwa na tatizo la dharura ambalo linahitaji ufumbuzi wa haraka na the only solution inakuwa kupata kiasi fulani cha fedha kulikabili. Hali hiyo...
Wadau mwenye kuhitaji kiwanja kina ukubwa wa 25x35, kuna nyumba yaa vyumba viwili vimeshapigwa bati ila bado madirisha, bei ni milioni 10, nicheki hapa 0762-323925
Moderators na wengine tafadhali naombeni msaada jamani.
Kuna mtu wa karibu na mimi anahama jiji la Dar es Salaam kurudi kwao kutokana na umri.
Anataka kuuza eneo alilokuwa anamiliki ili...
The fone has half touch screen problem, bt it works perfectly without considerin touch issue ! It has charger, protector and cover ! 0656 664 714, whatsap-0688 061010 !!
Hello!
Tiles Grade 1 Zenye Ubora wa Hali ya Juu, toka China Zinapatikana Tegeta Salasala kwenye Depot Mpya.
Ni tofauti na hizi za Wachina zilizopo sokoni.
1.Nene zaidi
2.Nzito zaidi...
Pata Universal Modem kwa Tsh.35,000/ hakuna haja ya kusumbuka ku'unlock au kua'limited na Mtandao wowote.
Model yake 3.5G, HSPA.
Speed 7.2Mbps (HSDPA).
Inaslots mbili,...moja kwa'ajili ya line...
Wanajamvi naombeni ushauri kati ya hizi gari aina mbili lakini kampuni moja ya toyota,Nadia na Opa ipi ni bora in terms ya
1.Durability(kudumu)
-Hili tuchukulie katika matumiz ya kawaida na yale...
:A S-heart-2:PIKIPIKI INAUZWA AINA YA SNLG TSHS 1'000,000 IKO BOMBA
0759007560 :yo:
:yo::yo::yo::yo::yo::yo::yo::yo::yo::yo::yo::yo::yo::yo::yo::yo::yo::yo::yo::yo::yo:
:frusty::frusty:
Jaman wanaJF mwenzenu nimepata dharura ila nina gari yangu aina ya nissan patrol naiuza kwa bei poa mil 14
ni manual,
green,
engine 42D,
full AC,
CC 4500
inatembea naomben...
Wadau kama kuna mtu anahitaji usafiri wa familia good news to you. Nlinunua gari nikasajiri trh 1/11/2012 kwa namba CEK niko nje ya Africa ila kwa vile nimeona nitachelewa kurudi huko(>2015) si...
vipo viwanja vitatu kama ifuatavyo
sqm 20 kwa 20 bei 5,000,000/
sqm 20 kwa 24 bei 5,500,000/
sqm 24 kwa 26 bei 6,500,000/
viwanjwa vipo mpiji magohe CCM, umbali wa km 9 kutoka morogoro road...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.