Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Ninayo masikitiko makubwa kuwatangazia kifo cha mama yangu mpendwa, Telinala Mtambo kilichotokea ghafla asubuhi ya siku ya leo tarehe 12/03/13 jijini Mbeya. Mazishi yanategemea kufanyika siku...
1 Reactions
42 Replies
4K Views
Iko katika hali nzuri kabisa,haina tatizo lolote,ukihitaji call me kwenye no 0782865192 Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
0 Reactions
2 Replies
984 Views
Ndugu, Nina ipad lakini charger nlonayo ni ya iphone so inasema "not charging" mwenye charger, pls nichek 4 trading
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Simu kwa good condition with 16GB internal memory!! 0717022737 chek me for business
0 Reactions
0 Replies
755 Views
Ni fundi ambaye amebobea katika masuala ya umeme wa viwandani na majumbani hivyo una weza kumtafta no 0765884743 songea
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Shamba lipo HOMBOLO BWAWANI katika mradi wa umwagiliaj kwa kulma zabibu na mazao mengne,
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Ili uweze kupata wallpaper game simbian game photo image editor image chef na mengine mengi bofya HAPA
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Usikose kusikiliza kipindi hiki kipya cha redio leo usiku saa 3:00 kupitia TBC FM.Kinaongelea vijana wanaofanya kilimo kama biashara. Content yao imetulia.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Natafuta line ya uwakala wa mpesa, 0754274070
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu kwa mwenye mahitaji ya maeneo karibu na ufukwe wa bahari ya Hindi eneo la Bagamoyo just ni pm.Maeneo yote yamepimwa na idara ya ardhi na yana hati miliki.kabla ya malipo utajiridhisha kwanza...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Model number SHW-M209K Firm ware version 2.3.6 Base band version M 290K.T.L 23.1859- KT Kernel version 2.6.35.7 perf - cl 835898 Wi-fi connection 3G na memory kadi ya 4gb Available space...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Nauza tractor ni used toka uingerza ni kama mpya ina jembe lake.mazua@hotmail.co.uk 0713265191
0 Reactions
43 Replies
5K Views
Wakuu, nahitaji kampuni ya clearing agent, waaminifu, wazoefu, sitaki bei za kubambikiwa. Pia awe na uwezo wa bargain na TRA (mtu anayehitaji huduma ana machungu na hela) Weka mawasiliano na...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Intel® Core™ i3-330M processor Features Hyper-Threading Technology, 3MB L3 cache and 2.13GHz processor speed. Intel® Core™ i3 processor Features smart 4-way processing performance for HD...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wana Jamii wenzangu! Nyumba ya vyumba viwili, sebule, dinning jiko bafu na choo itapatikana kuanzia May 1 kwa mwana Jamii jiweke tayari if ur in need! Kodi ni Tshs. 170,000 na ni kwa miezi sita...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hallo. Jf ni kiboko ya Hitaji lako. Kwani. Nmewahi kununua simu na vikolombwezo kibao humu kwa bei nzuri tu. Hili nalo naaamini nitatatuliwa. Nahitaji LED Samsung 32" Mpya kabisa kwenye Box Lake...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Tittle yahusika nipate na mm kufaid geto
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Mkoa wa Pwani, wilaya ya kibaha inakuwa kwa kasi ya ajabu, maendeleo yanaongezeka kiwanja kinauzwa kinafaa kwa matumizi yafuatayo; Kujenga Petrol Station, Kujenga Yard ya Magari makubwa, Kujenga...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa mwenye taarifa kuhusu chumba maeneo ya kinondon tufahamishane
0 Reactions
0 Replies
964 Views
nauza laptop yangu...core i3 @2.5ghz,640gb hdd,4gb ram....nauza 600000 nipo arusha contacts 0715955896 check me,laptop ipo in gud condition na ni sony vaio screen 15.6 inches
0 Reactions
0 Replies
794 Views
Back
Top Bottom