Ninayo masikitiko makubwa kuwatangazia kifo cha mama yangu mpendwa, Telinala Mtambo kilichotokea ghafla asubuhi ya siku ya leo tarehe 12/03/13 jijini Mbeya.
Mazishi yanategemea kufanyika siku...
Usikose kusikiliza kipindi hiki kipya cha redio leo usiku saa 3:00 kupitia TBC FM.Kinaongelea vijana wanaofanya kilimo kama biashara. Content yao imetulia.
Wakuu kwa mwenye mahitaji ya maeneo karibu na ufukwe wa bahari ya Hindi eneo la Bagamoyo just ni pm.Maeneo yote yamepimwa na idara ya ardhi na yana hati miliki.kabla ya malipo utajiridhisha kwanza...
Model number SHW-M209K
Firm ware version 2.3.6
Base band version M 290K.T.L 23.1859- KT
Kernel version 2.6.35.7 perf - cl 835898
Wi-fi connection 3G na memory kadi ya 4gb
Available space...
Wakuu, nahitaji kampuni ya clearing agent, waaminifu, wazoefu, sitaki bei za kubambikiwa. Pia awe na uwezo wa bargain na TRA (mtu anayehitaji huduma ana machungu na hela)
Weka mawasiliano na...
Wana Jamii wenzangu!
Nyumba ya vyumba viwili, sebule, dinning jiko bafu na choo itapatikana kuanzia May 1 kwa mwana Jamii jiweke tayari if ur in need! Kodi ni Tshs. 170,000 na ni kwa miezi sita...
Hallo. Jf ni kiboko ya Hitaji lako. Kwani. Nmewahi kununua simu na vikolombwezo kibao humu kwa bei nzuri tu. Hili nalo naaamini nitatatuliwa.
Nahitaji LED Samsung 32" Mpya kabisa kwenye Box Lake...
Mkoa wa Pwani, wilaya ya kibaha inakuwa kwa kasi ya ajabu, maendeleo yanaongezeka kiwanja kinauzwa kinafaa kwa matumizi yafuatayo; Kujenga Petrol Station, Kujenga Yard ya Magari makubwa, Kujenga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.