Ceramized mineral stone plaster/Marble wall coating.
It is decorative and colored surface coating material prepared by mixing acrylic copolymer based binders and the natural granules of colored...
Kisiwe mbali sana.Gari moja au daladala nauli isizidi 1000.
Sehemu yenye umeme.umbali usizidi Km 15 mpaka city center.
Kiwanja kiweze kujenga vyumba 4 kiwe na Ukubwa mita 500.
Ofa yangu...
Tigo wameboresha Vifurushi vyao vya malipo ya baada kama ifuatavyo.
DATA ONLY
15K......15GB
30K......35GB
40K.......48GB
60K.......72GB
100k........120GB
COMBO
15K........10GB + dakika 400...
Habari za muda huu wana jamvi,
Leo nawaletea faida na hasara za biashara ya kujenga nyumba na kuuza almaarufu kama “JENGA UZA”
Hii ni biashara nzuri sana kwa wawekezaji ambao hawataki stress...
Habari za wakati huu?
Hii ni kwa wale wote wenye mapenzi au wanaovutiwa na shughuli za kilimo na ufugaji hususani ufugaji wa samaki
Tuna toa huduma ya kuuza Vifaranga/mbegu bora ya samaki aina...
Habari,
Kwa mnaohitaji vifaa vya production, cameraman, editor, graphic designer karibuni
Tunakufanyia kazi yako kwa usahihi na umakini mkubwa
Mawasiliano yetu ni 0685416752
Baada ya chuo kusajiliwa na NACTVET kwa namba REG/NACTVET/VTC/0845 mafunzo ya salon kuanzia kusuka nywele mitindo mbalimbali na masuala yote ya urembo sasa yatakuwa katika mfumo rasmi ambapo...
Habari wadau,
Nauza godown.
Lipo mkata handeni barabara kuu irudiyo msata/pwani
Lipo kilometer 2 toka mkata stand
Lipo meter 100 toka barabara kuu itokayo mkata kurudi pwani
Maji yapo mpaka...
Ninauza nyumba ipo Mwanza maduka 9, maji na umeme vipo, nyumba ipo jirani na barabara kuu ya maduka 9 kiloleli.
Bei naanzia 16 Milioni, maongezi kidogo yapo.
Simu 0717072172.
Nyumba inauzwa Magomeni
Makuti A, Mtaa wa msikiti Mdogo
Documents: Mirathi
Skwata
Meter 120 main road, tandale road.
Bei 125milioni (mazungumzo yapo)
Nipigie +255712347749 +255765755455
Kiwanja KINA sqm 1298 kipo Mbutu kigamboni, kina hatimiliki ya wizara ya ardhi isiyokuwa na deni,kutoka kiwanja kilipo kufika Baharini ni dakika 4 tu kwa kutembea.
Bei milioni 40...
Mwandege wilaya ya Mkuranga.
Mkoa wa Pwani, Mwandege.
Nyumba ina vyumba vitano na sitting room.
Ina choo cha kudumu/shimo.
Nyumba ipo kwenye lenta bado kupaua tu.
Ipo kwenye Barabara ya...
Habari za Wakati Huu?
BIASHARA YAKO INAHANGAIKA KUTAFUTA WATEJA?
Je wewe ni mtoa huduma,muagizaji au mzalishaji wa bidhaa zenye Ubora.Je unahitaji kufikia Soko Kubwa kwa Gharama Nafuu?Je unahitaji...
Nyumba ipo kwenye eneo kubwa la uwanja wa 35x76
Ina kisima na tank la ujazo wa Lt 7,000
ina Vyumba Vitatu vya Kulala Kimoja ni Master
Pia ina;
Sitting room (Kubwa)
Dining Room
Jiko kubwa
Stoo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.