Nauza kiwanja kipo kijiji cha Mapinga - Kimere karibu na Bunju B, kina ukubwa wa 20M kwa 30M. Bei ni sh. Milioni 9. Kuna maji, umeme upo katika hatua za mwisho nguzo ndio zimesambazwa na kuwekwa...
Kiwanja kinauzwa kipo maeneo ya chamazi mkabala na shule ya fahari English medium km chache kutoka kituo kiitwacho bamia..!
Kiwanja ni square meter 50 kwa 50
Bei ni shilingi (350,000) milioni...
Kwa mahitaji ya spea za pikipiki aina zote, brand ya winner kwa Bei ya jumla wasiliana nasi kupitia 0747333320 tunapatikana kariakoo mtaa wa mafia na swahili.
Kwa mikoani TUNATUMA nchi nzima na...
Habari, kama kichwa cha habari kinavyojieleza...
•Nyumba ipo Muriet Mashariki, mita 200 kutoka barabara ya East Africa
• Nyumba ina vyumba kumi, (single room) na ukubwa wa eneo ya nyumba ni...
Nguo kali za mitumba za kiume grade A, Cream kabisa.
Wanaume
1. Mashati ya ofisini
2. Mashati casual
3. Form 6
4. Jeans mkataba
5. Pensi
7. Flana
9. Cardet
10. Suaruali za vitambaa
Bei zetu ni...
Jipatie laptop stand, kwa elf 15000 Tu, wengi mnajua bei zake, mi nawapa kwa 15k... Faida za laptop stand, inaipa uwezo mzuri pc yako kuingiza na kutoa hewa, hivyo Una avoid over heat, unaweza...
Jipatie simu ndogo ya botton aina ya Nokia kwa bei ya jumla na rejareja:
Nokia 106
Berri 1700mAh
Full box
Warranty 12 month
Bei: 25000/=
Jumla 21000/=
Tunapatikana Dar es salaam,mbagala...
Taa za Solar za kufunga ukutani, Tsh 35000.
zinawaka automatic jioni na kuzima asubuhi.unachagua mwanga unaopenda.
tupo kariakoo dsm.
0747591578.call/whatsapp
Habari wakuu hivi ni Viwanja viko Mlandizi Ruvu darajani nyuma ya shule ya msingi ruvu darajani umbali 300m tu kutoka barabara kuu ya morogoro Road ni vizuri sana kwa makazi vinauzwa 2,500,000/=...
Bei za vifurushi vya malipo ya canal kwa mwezi.
1. TOUT CANAL + Faranga za kirundi 120,000/=
premium package sawa na shilingi 130,000/= Canal Sport
2. EVASION+ Faranga za kirundi 53,000/=...
Husika na kichwa hapo juu,Natafuta boss Mwenye gari Prado 120 tufanye biashara ya kuikodisha
Gari Hii hua inalipwa kwa siku na mafuta Mara nyingi mteja ndo hua anaweka Sie hua tunachaji Bei ya...
Nyumba ipo Tanga Mjini Mitaa ya kisosora
*Room 4 (Kimoja master)
*Sebule
*Jiko
*Public Toilet
*Umeme✅
*Maji✅
Bei 65 milioni mazungumzo yapo...Kwa mteja Serious piga simu 0683703076 au whatsapp...
Mali inayouzwa: Nyumba ya kupangisha yenye jumla ya vyumba 3 na nyumba moja kubwa ambayo bado ujenzi wake unaendelea.
Ukubwa wa plot: futi 100*50 (465 sq metres).
Mahali: Chamazi, karibu na Azam...
Simu:
Nauza Inverter
Brand: Victron Energy
Model: Multiplus
Power: 2000VA
System Battery: 24 VDC
Both inverter and charger
Bei 1.5m Fixed
Growatt
Model SPF 3000 HVM
Power: 3000VA
System...
Kiwanja chenye Banda la kuku na nyumba ya vyumba viwili kinauzwa.
Ukubwa: 450 mita za eneo
Mahali: Kinondo Mskiti Mpya, Bunju
Umbali: Dakika 7 kutoka Barabara ya Bagamoyo
Umiliki: Hati
Bei: 35...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.