Kiwanja kimepimwa na Halmashauri Kibaha, bei ni 2.5M

Ghost.js

Senior Member
Jul 1, 2015
158
327
KIBAHA KWA MFIPA

Kiwanja kimepimwa kina Hati
Ukubwa ni Sqm 450
Kiwanja kipo Kibaha kwa Mfipa
Kinauzwa million 2.5
Boda elfu 2 hadi kwenye kiwanja
Mwenyewe anauguza ana shida sana, mwenye kuwahi awahi

0784376888/0744757738
IMG-20231002-WA0000.jpg


Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom