TheMnyonge
JF-Expert Member
- Mar 25, 2022
- 739
- 1,871
Baada ya kupigika mno, nimeomba gari ya mtu walau nijipatie pesa kidogo kusogeza siku mjini!
Gari niliyopata ni Passo, 3 piston n'a cc990
Jamaa ananiambia anataka nimpatie hesabu ya 40k kwa siku, mafuta juu yangu!
Wenye ujuzi niambieni, hii imekaa sawa?
Kwa hesabu hii ninaweza kupata hesabu ya boss wakati huo huo nipate pesa ya kunisaidia binafsi?
Kwa yeyote anauefanya hii biashara, tafadhali naomba mwongozo, ni Mara ya kwanza naingia road kwa hii business !
Gari niliyopata ni Passo, 3 piston n'a cc990
Jamaa ananiambia anataka nimpatie hesabu ya 40k kwa siku, mafuta juu yangu!
Wenye ujuzi niambieni, hii imekaa sawa?
Kwa hesabu hii ninaweza kupata hesabu ya boss wakati huo huo nipate pesa ya kunisaidia binafsi?
Kwa yeyote anauefanya hii biashara, tafadhali naomba mwongozo, ni Mara ya kwanza naingia road kwa hii business !