Bolt/Uber kwa sasa kipande bei gani kwa siku?

TheMnyonge

JF-Expert Member
Mar 25, 2022
739
1,871
Baada ya kupigika mno, nimeomba gari ya mtu walau nijipatie pesa kidogo kusogeza siku mjini!
Gari niliyopata ni Passo, 3 piston n'a cc990

Jamaa ananiambia anataka nimpatie hesabu ya 40k kwa siku, mafuta juu yangu!

Wenye ujuzi niambieni, hii imekaa sawa?
Kwa hesabu hii ninaweza kupata hesabu ya boss wakati huo huo nipate pesa ya kunisaidia binafsi?

Kwa yeyote anauefanya hii biashara, tafadhali naomba mwongozo, ni Mara ya kwanza naingia road kwa hii business !
 
Baada ya kupigika mno, nimeomba gari ya mtu walau nijipatie pesa kidogo kusogeza siku mjini!
Gari niliyopata ni Passo, 3 piston n'a cc990

Jamaa ananiambia anataka nimpatie hesabu ya 40k kwa siku, mafuta juu yangu!

Wenye ujuzi niambieni, hii imekaa sawa?
Kwa hesabu hii ninaweza kupata hesabu ya boss wakati huo huo nipate pesa ya kunisaidia binafsi?

Kwa yeyote anauefanya hii biashara, tafadhali naomba mwongozo, ni Mara ya kwanza naingia road kwa hii business !
 
Daah! Jamaa amekulalia
Kimsingi kama gari ya mkataba kwa siku hesabu ni 30k ila sio 40k
 
Baada ya kupigika mno, nimeomba gari ya mtu walau nijipatie pesa kidogo kusogeza siku mjini!
Gari niliyopata ni Passo, 3 piston n'a cc990

Jamaa ananiambia anataka nimpatie hesabu ya 40k kwa siku, mafuta juu yangu!

Wenye ujuzi niambieni, hii imekaa sawa?
Kwa hesabu hii ninaweza kupata hesabu ya boss wakati huo huo nipate pesa ya kunisaidia binafsi?

Kwa yeyote anauefanya hii biashara, tafadhali naomba mwongozo, ni Mara ya kwanza naingia road kwa hii business !
Hua ni 20K
 
Back
Top Bottom