Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Touch screen ni sifa kulingana na project inayofanyika : SIFA ZAKE: 1. Iwe brand yoyote 2. Iwe na hard disk yenye ukubwa wa kutosha ( ssd au za zamani) 3.Iwe na processor imara ya generation isiyo...
1 Reactions
3 Replies
535 Views
Tv showcase nzuri zinavutia zipo kimara mwisho naziuza kila moja tsh 130,000/= Unaweza piga/whatsap 0719478826 Deliver nafanya pia ukihitaji✅ Karibu sana
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Nmekuwa nikimiliki eneo kubwa sana, katka eneo langu kuna sehem haya madini yanapatikana kwa wingi sana sasa natafuta soko lake Atakae nipatia soko lazma atapata 5% ya mauzo Ahsanten
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Hello ladies and gentlemen hizi hapa mali safi kabisa Friji iko mwake mwake kama unavyoiona.. Bei 750,000 Tuwasiliane Mbezi kwa Msuguri
0 Reactions
6 Replies
836 Views
Kampuni : SEAGATE Size: 1 TB Contacts: PM Hard Disk nzuri haina shida aina yoyote,ukihitaji nikuwekee na movie aina zozote utakazotaka inawezekana pia (bei ya movie tutaongea). Nikikupa HARD...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Chainsaw aina ya Newtop inauzwa Imetumika miezi mitatu,ipo katika hali nzuri kabisa haina tatizo lolote,nililinunua kwa ajili ya kuandaa shamba sasa nimemaliza sina uhitaji nayo tena ndo maana...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Tunauza vyombo aina mbalimbali vya nyumbani,vyombo vetu ni kutoka Uturuki, Dubai pamoja na China
0 Reactions
5 Replies
646 Views
Habari ya mchana wajumbe. Ninahitaji gari ya raum ile ambayo kwa hapa nchini tumeipachika jina la new model. Bajeti iliyopo ni 5.5 lakini inaweza kupanda kidogo sana. Kama unalo tafadhali naomba...
0 Reactions
10 Replies
753 Views
Narudi tena kwenu wanajamvi kutaka kupata connection ya SOKO LA VANNILLA mbichi na kavu. Kagera tuna kilio kikubwa VANILLA imekosa wanunuzi wakulima wanapoteza matumaini kabisa mwaka huu...
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Kod lak 500,000 malipo n miez 10 Piga simu au watsap Namba hii 0718436694
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Naombeni anayefahamu kampuni ya mizigo unayosafirisha mizigo moja kwa moja mpaka babati mjini.
0 Reactions
6 Replies
753 Views
Karibu Afritrack, Afritrack ni alama ya biashara iliyosajiliwa ya Laiki Technology Limited ambayo ni kampuni iliyoanzishwa mwezi wa Aprili 2006 na ni moja ya kampuni za kwanza kuleta huduma za...
0 Reactions
0 Replies
366 Views
Nyumba ipo mtaa wa kangaye kata ya nyakatNYUMBA INAUZWA IPO MTAA WA KANGAYE-NYAKATO-MWANZAo-mwanza ipo karibu na shule ya secondary KANGAYE, ina vyumba 3 na sebule, Ndani Kuna lipu na Bomba za...
0 Reactions
0 Replies
592 Views
Chumba kipo Gongo la Mboto Maeneo ya Kaburi Moja Mwisho wa Lami. Kina choo ndani,kioo ndani ya geti , kina madirisha ya vioo,tailiz, feni ya juu na usalama upo wa kutosha. Anayetaka aje...
1 Reactions
0 Replies
455 Views
Kluger 2002 model CC 2360 Mileage 83,000km Bei 18.5m Highly Negotiable
1 Reactions
7 Replies
816 Views
Nauza paka/nyau. Ni domestic cats, species aina ya Felis Catus. Location: Makongo Juu (opposite na nyumba ya Professor Rwekaza Mkandala) Mawasiliano: 0718 727210 (Whatsapp/SMS) Bei: 540,000/=...
11 Reactions
77 Replies
7K Views
Habari za leo wakuu? Natafuta eneo kubwa la ardhi (Babati Manyara)mjini liwe karibu na barabara ya lami umeme na maji viwepo karibu na eneo. Bajeti yangu milioni tano keshi.
0 Reactions
16 Replies
1K Views
Wadau, Nahitaji sehemu/kiwanja kilichotizamana na barabara kwaajili ya kuweka kontainer la biashara. Iwe Bagamoyo road kuanzia Tegeta mpaka Mapinga Bagamoyo. Iwe na mkusanyiko wa watu na huduma...
1 Reactions
5 Replies
500 Views
Wengi hawajui hili ukitoa DStv ambayo ni worldwide Startimes ni king'muzi bora sana Ukiwa na Startimes kwa shilingi 21,000 unaangalia Ligi kubwa za ulaya Lalita spain Bundaslige ujerumani Ligi...
21 Reactions
106 Replies
15K Views
Google pixel 4xl - Used Ram 6GB Internal memory 64GB Face ID Bei: 320K Phone number: 0629 153 727
1 Reactions
5 Replies
759 Views
Back
Top Bottom