Touch screen ni sifa kulingana na project inayofanyika :
SIFA ZAKE:
1. Iwe brand yoyote
2. Iwe na hard disk yenye ukubwa wa kutosha ( ssd au za zamani)
3.Iwe na processor imara ya generation isiyo...
Tv showcase nzuri zinavutia zipo kimara mwisho naziuza kila moja tsh 130,000/=
Unaweza piga/whatsap 0719478826
Deliver nafanya pia ukihitaji✅
Karibu sana
Nmekuwa nikimiliki eneo kubwa sana, katka eneo langu kuna sehem haya madini yanapatikana kwa wingi sana sasa natafuta soko lake
Atakae nipatia soko lazma atapata 5% ya mauzo
Ahsanten
Kampuni : SEAGATE
Size: 1 TB
Contacts: PM
Hard Disk nzuri haina shida aina yoyote,ukihitaji nikuwekee na movie aina zozote utakazotaka inawezekana pia (bei ya movie tutaongea).
Nikikupa HARD...
Chainsaw aina ya Newtop inauzwa
Imetumika miezi mitatu,ipo katika hali nzuri kabisa haina tatizo lolote,nililinunua kwa ajili ya kuandaa shamba sasa nimemaliza sina uhitaji nayo tena ndo maana...
Habari ya mchana wajumbe. Ninahitaji gari ya raum ile ambayo kwa hapa nchini tumeipachika jina la new model. Bajeti iliyopo ni 5.5 lakini inaweza kupanda kidogo sana.
Kama unalo tafadhali naomba...
Narudi tena kwenu wanajamvi kutaka kupata connection ya SOKO LA VANNILLA mbichi na kavu.
Kagera tuna kilio kikubwa VANILLA imekosa wanunuzi wakulima wanapoteza matumaini kabisa mwaka huu...
Karibu Afritrack,
Afritrack ni alama ya biashara iliyosajiliwa ya Laiki Technology Limited ambayo ni kampuni iliyoanzishwa mwezi wa Aprili 2006 na ni moja ya kampuni za kwanza kuleta huduma za...
Nyumba ipo mtaa wa kangaye kata ya nyakatNYUMBA INAUZWA IPO MTAA WA KANGAYE-NYAKATO-MWANZAo-mwanza ipo karibu na shule ya secondary KANGAYE, ina vyumba 3 na sebule, Ndani Kuna lipu na Bomba za...
Chumba kipo Gongo la Mboto Maeneo ya Kaburi Moja Mwisho wa Lami. Kina choo ndani,kioo ndani ya geti , kina madirisha ya vioo,tailiz, feni ya juu na usalama upo wa kutosha.
Anayetaka aje...
Nauza paka/nyau.
Ni domestic cats, species aina ya Felis Catus.
Location:
Makongo Juu (opposite na nyumba ya Professor Rwekaza Mkandala)
Mawasiliano:
0718 727210 (Whatsapp/SMS)
Bei:
540,000/=...
Habari za leo wakuu?
Natafuta eneo kubwa la ardhi (Babati Manyara)mjini liwe karibu na barabara ya lami umeme na maji viwepo karibu na eneo.
Bajeti yangu milioni tano keshi.
Wadau,
Nahitaji sehemu/kiwanja kilichotizamana na barabara kwaajili ya kuweka kontainer la biashara.
Iwe Bagamoyo road kuanzia Tegeta mpaka Mapinga Bagamoyo. Iwe na mkusanyiko wa watu na huduma...
Wengi hawajui hili ukitoa DStv ambayo ni worldwide Startimes ni king'muzi bora sana
Ukiwa na Startimes kwa shilingi 21,000 unaangalia
Ligi kubwa za ulaya
Lalita spain
Bundaslige ujerumani
Ligi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.