Nyumba ipo kwenye eneo kubwa la uwanja wa 35x76
Ina kisima na tank la ujazo wa Lt 7,000
ina Vyumba Vitatu vya Kulala Kimoja ni Master
Pia ina;
Sitting room (Kubwa)
Dining Room
Jiko kubwa
Stoo...
wana JF, kuna ile unakutana na mtu yaaan kwa jinsi anavyonukia tu unaanza kuwazia akilini "kama huyu si mtumishi wa bank basi atakuwa plan international ama kwenye wizara flan ivi serikalini" ila...
Hujambo kaka/dada.
Iwapo umekwama kufanya muamala wa kubadili na kutoa senti zako zilizopo kwenye PayPal ama Skrill, basi ujumbe huu ni wako.
Ingia inbox tusaidiane.
Habari wakuu.
Ninauza Gari yangu Nissan Tilda Namba C.
Engine: cc1490
Gari haitembei Ina changamoto zifuatazo
- Badhi za sensa zimekifa nilimwita fundi akatazama na kubadili sensa, gari iliwaka...
Nyumba ya Vyumba vitatu, jiko, sitting room, chumba kimoja master. Eneo kubwaa linatosha kuzungusha fensi, dakika 5 main road ya kilwa road.
Mwandege iko mkoa wa pwani wilaya ya mkuranga, unaanza...
Jinsi ya kujisajili katika mfumo wa NeST kama Mzabuni Fuata hatua zifuatazo;
1. Ingia kwenye Tovuti: www.nest.go.tz
2. Bofya 'Register as a Tenderer'
3. Chagua nchi kwa kubofya 'Select Country'...
Wakuu kuna chaka nipo kama mnavojua najihusisha na mambo ya uvuvi na sehemu niliopo kuna changamoto ya usafiri maana ni porin sasa nilikuwa nahitaji mtu ambaye tunaweza kuingia mkataba...
Habari!
Kalibun kwa huduma za ufundi umeme na solar, tunafany design za taa mbali mbali za umeme. Tv show case na wirring zote kwa ujumla, tunafunga submitter aina zote. Tuna design taa mbali...
MAELEZO JUU YA UTOAJI RISITI KIDIGITALI UKIWA NA MFUMO WA DIRM VFD KWA KUTUMIA SIMU YAKO AU LAPTOP YAKO.
DIRM VFD ni Mfumo unaotumia teknolojia ya kisasa inayokuwezesha kutoa risiti halali za
EFD...
ISUZU Bighorn ipo Japan wewe unapaswa kulipia freight 1,000 USD na pesa ya wine 260 USD kwa mmiliki. 3050cc, mileage 239,000 Kms.
Year of manufacturing 1996
Specification ya lenovo Laptop
Window 10 pro,
Processor core i5,
Hard disk,
Storage 300GB,
Ram 8GB
Hali yake ni imara na charger inadumu kwa masaa mengi nicheck 0624000771
Habari wakuu
Kutokana na gharama za uandaaji wa mitihani kuwa kubwa katika shule yetu, tumekuja na wazo la kununua vifaa vyetu ili kuokoa gharama
Vifaa tunavyo hitaji ni Printer, Photocopy machine...
Nyumba ina vyumba vinne,kimoja master,sitting room,dinning room, jiko,public toilet ndani eneo kuubwa unaweza kufuga.
Kodi laki mbili na nusu kwa mwezi,umbali wa dakika 5paka 8 kutoka main road...
Habari wadau wote wa JF,
Naomba ushauri wa simu midrange nawaza pata Kwa tsh. 500k.
Kwa sasa nimeona xiomi Redmi note 12 (8gb 128gb). Kwa budget hiyo naweza ipata? Na inauzwa Bei Gani mpya...
Kiwanja kipo eneo la Chonga wilalya ya Chake chake
Kina ukubwa sqm 850
Kipo mita 30 kutoka barabara kuu
*Kiwanja kipo karibu msikiti na hospital ya Chonga
Umeme ushafika hauhitaji nguzo...
Nimepata kazi hapa ya kusafisha sink la choo na mwana jf shukrani kwake pia kama unauhitaji wa kusafishiwa sink la kunawia ama la choo lililofubaa ni cheki pm ama piga namba 0783672221 .Karibuni...
Gari nzuri sana.
Nauza bei nafuu, namba D. Engine 33.Tairi mpya, inafanya kazi kama daladala.
Ipo Kitunda Dar es Salaam.
Nipigie uchukue gari nzuri ya biashara: +255 782 425 915
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.