Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari wadau.. Natumai wengi wenu mpo salama Leo nawaletea ipad 2 kwa laki 6 tuu.. In excellent condition.. Please call me 0712 507060 Nipo dar..asante
0 Reactions
1 Replies
887 Views
habari wandugu nahitaji spare za ford focus naomba mnijuze ni wapi zaweza kuzipata mimi nipo dar es salaam au kama kuna ajent wake au wataalam wa hizi gari
0 Reactions
3 Replies
1K Views
kama una fahamu madini kama vile 1.aqumalin aina yote 2.tomalini rangio za haina zote 3.zl con 4.rose and red garment 5.amasisti na na mengine mendi wana jamii forum lete order una...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
WAKUU HABARI ZENU KUNA MDOGO WANGU KAZICHANGA CHANGA ANATAKA KUCHUKUA NDINGA SALOON SASA ALIKUWA ANAULIZA ACHUKUE NDINGA GANI NZURI YENYE comfortability NDANI YAKE YA KUANZIA WALAU MWAKA 2001...
0 Reactions
32 Replies
7K Views
Nahitaji mtaalamu wa IT.
0 Reactions
0 Replies
906 Views
Nina PML ya dhahabu huko Kilindi mkoa wa Tanga,kinacho hitajika ni equipments kwaajili ya uzalishaji Call 0655 070733
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Huawei ASCEND Y200, second hand imetumika kwa mwezi mmoja tu, iko unlocked, rooted na imekuwa customized ROM yake to ICS.......atayehiyaji anichek kwenye 0712 780006, kwa bei ya Tshs. 180,000/= tu.
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Nahitaji gari Suzuki Escudo ya milango mitano, wasiliana na mimi 0714-40-40-57, 0755-03-39-97
0 Reactions
6 Replies
8K Views
nahitaji room kinondoni........
0 Reactions
1 Replies
964 Views
Wakuu Hivi wireless internet ya shirika gani ina spidi nzuri na bei nzuri?
0 Reactions
5 Replies
4K Views
nipo dar, call or tex: 0656063933
0 Reactions
10 Replies
3K Views
wana jamvi natafuta ps3 kwa yeyote alie tayari kufanya biashara na mimi anitafute kwenye namba 0718-733627 tufanye biashara ahsanteni sana
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Nyumba inapangishwa ipo Gogoni Kiluvya B. Ni studio apartment, kila nyumba ina chumba kimoja cha kulala, sebule na choo. Inafaa kwa "just married couples". Zipo apartment nne. Mwenye kuhitaji...
0 Reactions
0 Replies
918 Views
Nyumba ya vyumba viwili,Kimoja master Sebule jiko na choo cha nje. Ipo ndani ya Geti Shiling laki mbili na hamsini 2500000. Unalipa kwa miezi 9 Piga 0682699999. Wahi kabla haijaingia mikononi...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Chumba kimoja, kiwe self...seating room ( si lazima iwe kubwa sana...am a bachelor)...kitchen itakuwa added advantage..iwe sehemu ya karibu na usafiri, hasa wa kwenda posta..eneo la...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
habari wadau!!! napenda kuwataarifu wadau wapenda maendeleo wote kuwa mimi na wenzangu(tupo7 sasa) tupo kwenye NGO iitwayo vision saccos. Sisi tupo morogoro vijijini-Dutumi village na tumepata...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Nauza equalizer sensor,ambayo inasense mziki ndani ya gari na kuudisplay nyuma kioo cha gari Bei yake ni 180000 Atakayekuwa interested anicheki kwa namba. 0717312314
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wana jamvi heshima! Kuna hii kitu inaitwa soya cake ni waste product ya soya ikishakamuliwa. Kama kuna mdau anaweza kupata hii kitu tuwasiliane. capacity kuanzia tani kumi. KARIBUNI.
0 Reactions
0 Replies
864 Views
MAFUTA YA UBUYU (BAOBAB SEED OIL) Ni mafuta yatokanayo na mbegu ya ubuyu {au kokwa}. Hukamuliwa kiini chake na kutoa mafuta. Utafiti huu umefanywa na Kampuni ya Essential Oil ya Afrika kusini...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tafadhali wadau kwa usumbufu, Keyboard ya laptop yangu ilipata hitilafu nikajaribu kutafuta Uganda na Kenya nimekosa . Nimefanikiwa kuipata online ila kuinunua imekuwa taabu kutokana na masharti...
0 Reactions
2 Replies
964 Views
Back
Top Bottom