Husika na kichwa cha habaari mimi nina blackberry 9780 ninahitaji kuexchange na sony ericson Experia X10 if umemind n Pm or call 0718928267
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
nokia n97 inauzwa ni used ila nzima na original ina 32gb,camera ya nyuma 5.4 megapixel na mbele 2.8, ina ruhusu wireless kwa shilingi laki moja na sabini.
Wanajamii nisaidieni ntapata wap cd zinazoonesha mazoezi kwa hapa dsm, ntazipata wap.
Mazoezi ya viungo haswaa
Sent from my BlackBerry 9380 using JamiiForums
Kwa wale wanaopenda vitu QUALITY, Nawaleteeni HTC Amaze 4G...
japokua 4G haiko officially bongo but this phone is SUPER FAST:biggrin1: in SURFING,, capable up to 42Mbps.
Swala la charge kwa kweli...
Wadau,
Kiwanja kinauzwa kiko Makongo Juu, hakijapimwa.
Kiwanja kina ukubwa wa 60m x 20m = 1,200-Sqm.
Kiko umbali wa 7.0-Kilometa kutoka "Keep-left" cha Mlimani City.
Bei ni Tshs 36Mil (TZS...
Habari wana jf
Kwa wale wenye matatizo ya uzazi (kutopata mtoto) kama ulishawahi kupata mtoto mmoja na inashindikana kupata wa pili pia kwa wale ambao wanashindwa kupata ujauzito kama matokeo...
Rafiki yangu ana kiasi cha Tsh 24 million anahitaji gari aina ya RAV4( kama anaweza pata new model itakuwa nzuri zaidi); kwa show room za DSM ni eneo gani anaweza kupata gari zuri aina...
Wana JF ninawatangazia kuna huduma inakuja ya kusafisha tiles kwa ujumla iwe ofisini ,majumbani .nina mashine maalum ya kusafisha tiles na kwenye yale maungio hasa ndio yanachafuka sana .pia km...
Kiwanja kipo njiro arusha eneo la kwa masista block J kinaukubwa wa 15 kwa 25 na kina hati miliki (title deed), na udongo wa ardhi hiyo ni mwekundu. Bei ni shilingi miliono thelathini...
Rafiki yangu ana kiasi cha Tsh 24 million anahitaji gari aina ya RAV4( new model); kwa show room za DSM ni eneo gani anaweza kupata gari zuri aina iliyotajwa au kwa anayejua aina nzuri ya gari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.