Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nauza ipad 3 mpya ina gb 64 tsh 950,000 pungufu tunaongea,inatumia line ya simu.check 0754865192 au 0715865192
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Husika na kichwa cha habaari mimi nina blackberry 9780 ninahitaji kuexchange na sony ericson Experia X10 if umemind n Pm or call 0718928267 Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
0 Reactions
0 Replies
671 Views
nokia n97 inauzwa ni used ila nzima na original ina 32gb,camera ya nyuma 5.4 megapixel na mbele 2.8, ina ruhusu wireless kwa shilingi laki moja na sabini.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wanajamii nisaidieni ntapata wap cd zinazoonesha mazoezi kwa hapa dsm, ntazipata wap. Mazoezi ya viungo haswaa Sent from my BlackBerry 9380 using JamiiForums
0 Reactions
2 Replies
801 Views
Kwa wale wanaopenda vitu QUALITY, Nawaleteeni HTC Amaze 4G... japokua 4G haiko officially bongo but this phone is SUPER FAST:biggrin1: in SURFING,, capable up to 42Mbps. Swala la charge kwa kweli...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
wana jf naombe kujua wapi nawezapata soko la asali la uhakika na price market inayotoa.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Dell Inspiron 3520 – 2.3Ghz – 500GB – 4GB RAM – Webcam – WLAN – Bluetooth – 15.6'' – DVD RW – Win 8 bei laki 7.. mwenye kuitaka ani cheki 0717599884...
0 Reactions
2 Replies
856 Views
Wadau, Kiwanja kinauzwa kiko Makongo Juu, hakijapimwa. Kiwanja kina ukubwa wa 60m x 20m = 1,200-Sqm. Kiko umbali wa 7.0-Kilometa kutoka "Keep-left" cha Mlimani City. Bei ni Tshs 36Mil (TZS...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
simu iko pouwa, bei laki na sabini tuu (170,000/=) mazungumzo yapo, niPM au 0767698281 tufanye biashara
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari wana jf Kwa wale wenye matatizo ya uzazi (kutopata mtoto) kama ulishawahi kupata mtoto mmoja na inashindikana kupata wa pili pia kwa wale ambao wanashindwa kupata ujauzito kama matokeo...
0 Reactions
0 Replies
602 Views
Rafiki yangu ana kiasi cha Tsh 24 million anahitaji gari aina ya RAV4( kama anaweza pata new model itakuwa nzuri zaidi); kwa show room za DSM ni eneo gani anaweza kupata gari zuri aina...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wana JF ninawatangazia kuna huduma inakuja ya kusafisha tiles kwa ujumla iwe ofisini ,majumbani .nina mashine maalum ya kusafisha tiles na kwenye yale maungio hasa ndio yanachafuka sana .pia km...
0 Reactions
0 Replies
875 Views
wapi naweza kupata wanaofanya biashara ya kununua simu used ambazo nzima kwa bei nzuri
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Bright ur home wiz expricity ar. We deal wiz . Botanical fenc .cure and watering garden .desgnening wiz unique style . Garden logo wiz low powered cost. contact us 0754866063 0716138557
0 Reactions
0 Replies
940 Views
Mwenye simu izo hapo ani pm tufanye biashara
0 Reactions
4 Replies
1K Views
NAUZA GARI AINA YA CORROLA LIMITED KWA 4.5 MIL. nipo dsm. Pm kwa mawasiliano.
0 Reactions
0 Replies
980 Views
business done.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Chumba kimoja na sebule pamoja na maliwato ndani umeme na maji vipo.kibamba dar es salaam kodi laki moja kwa mwezi.karibuni
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Kiwanja kipo njiro arusha eneo la kwa masista block J kinaukubwa wa 15 kwa 25 na kina hati miliki (title deed), na udongo wa ardhi hiyo ni mwekundu. Bei ni shilingi miliono thelathini...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Rafiki yangu ana kiasi cha Tsh 24 million anahitaji gari aina ya RAV4( new model); kwa show room za DSM ni eneo gani anaweza kupata gari zuri aina iliyotajwa au kwa anayejua aina nzuri ya gari...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom