Monitor(chogo) ya desk top inahitajika haraka.

Monitor(chogo) ya desk top inahitajika haraka.

lwampel

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2011
Posts
249
Reaction score
55
habari gani wana jf? Nahitaji kununua monitor(chogo) kwa ajili ya cpu yangu , bajeti yangu ni tsh 20,000. Kwa yeyote mwenye nayo tuwasiliane kupitia 0752490238. Mimi nipo Dar. Ahsanteni
 
Ya bei hyo utapata mbaya-ninayo njoo nikuuzie ila itakuumiza macho.
 
wakuu, kweli sitanii ninashida na hiyo kitu mwenye nayo anicheki bac tufanye mambo!
 
wakuu, kweli ninashida na hiyo kitu na wala sitanii, mwenye nayo anicheki bac ili tufanye mambo!
 
Hahahaa. Una makumbusho ya IT?

King'asti umeiona simu yake???
Hii hapa
Siemens_c25.jpg
 
Last edited by a moderator:
Sijaona hizo makitu longi kweli. Ningekuwa nayo hombe ningeshaiwashia moto wa kuchemshia mahindi.
ha ha ha! Acha jokes zako shemeji, naomba bac unisaidie kutafuta kama kuna m2 anayo uko home.
 
ninayo ila bei 40000tsh kama utakua tayari kuinunua ni pm ni inch 17 nakupa na power cable yake
 
habari gani wana jf? Nahitaji kununua monitor(chogo) kwa ajili ya cpu yangu , bajeti yangu ni tsh 20,000. Kwa yeyote mwenye nayo tuwasiliane kupitia 0752490238. Mimi nipo Dar. Ahsanteni

wakuu nashukuru nimeshapata monitor chogo, tena chogo chogo kweli mpaka mm mwenyewe naiogopa!
 
hawa ndio walee wanao ng'ang'ana na analogia wakati wenzao wanaenda digitali, duh! viuwmbe wagumu!
 
Wenzako washaamia digitale kitambo wewe bado upo analogi tu? au Unataka kuweka makumbusho ya IT(sos King'asti)
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom